Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,018
- 26,330
Tatizo ya redmi ni upatikanaji wake wapi ziko kariakooWanyonge wenyewe hawajajua wanakombolewa na nani,
Redmi 9 zipo Hadi za laku mbili ni simu Kali tu za kuanzia ,na betri ya 5000 mah lakini bado watu wananunua techno kwa laki sita .