Bado Sijapata kazi/kibarua wakuu

Bado Sijapata kazi/kibarua wakuu

Mzee Mambo

Member
Joined
Jun 21, 2021
Posts
29
Reaction score
18
Habari Za majukumu wakuu wa hili Jamvi.

Mwanzo nilikuja kwenu kuomba kibarua/kazi kwajili ya kujikimu kimaisha, ila bado sijafanikisha kwenye Hilo.

Tafadhalini, kwa mwenye connection au kazi anisaidie.
đź’ĄNina Elimu ya chuo kikuu (BSc. Property and facilities management): Pia ni mjuzi kwenye mahesabu na matumizi ya computer.
Naishi Dar es salaam.

NB: ELIMU yangu sio kigezo, nipo tayari Kufanya kazi yoyote ya halali hata kama haiitaji elimu.

SHUKRAN
 
Maisha ni vita na kila mmoja anapambana na kushinda kwa wakati wake.

Mungu akufanyie wepesi ushinde na nyakati hizi pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom