Nina umri wa miaka 24 ni Mwanachuo lakin nimeweza kuahirisha mwaka kutokana na Hali ya kiuchumi kuwa hairuhusu kuendelea naomba mwenye connection ya kazi yoyote WAKUU ya kuingiza kipato ANISAIDIE hata Kama no wewe mwenyewe utaona ninafaaa sawa kunipa kazi hata Kama no part time.
Nilikuwa nachukua Bachelor of science (UDSM) (Bsc)
Education background
1. Teaching (chemistry &Biology)(2- years course duration)
2. Computer studies (Certificate)
Acquired in Musoma Tech sec school as crush course.
Lakin Kama nafanya kazi hata Kama iko nje ya hizo hapo juu wakuu tusaidiane
Naamini wakuu mtalifanyia kazi.
Location nipo Mwanza
Nilikuwa nachukua Bachelor of science (UDSM) (Bsc)
Education background
1. Teaching (chemistry &Biology)(2- years course duration)
2. Computer studies (Certificate)
Acquired in Musoma Tech sec school as crush course.
Lakin Kama nafanya kazi hata Kama iko nje ya hizo hapo juu wakuu tusaidiane
Naamini wakuu mtalifanyia kazi.
Location nipo Mwanza