Bado nitampenda mke wangu hata kama kashagongwa

Bado nitampenda mke wangu hata kama kashagongwa

zinc20

Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
25
Reaction score
7
Mke wangu kanisaliti nilipokuwa nipo kikazi katika shughuli zangu nje kidogo ya jiji la Dar.

Taarifa Nimepata Kutoka Kwa Maswaiba Wangu Wa Karibu Na Kwangu Na Wameniambia Mke Wangu Anatembea Na Rafiki Yangu Wa Karibu.

Nilipopata Taarifa Hii Nilimwendea Kitombi Aliyenigongea Mke Wangu Ambaye Ni Rafiki Yangu Wa Karibu Na Amekuwa Muwazi Kwangu Na Amesema Hatorudia Tena Na Mimi Nimeachana Nae For Good.

Ila Akirudia Na Nikapata Harufu Yakuwa Amemgonga,atakuwa Amejipa Kibali Cha Kwenda Ahera.
 
Hongera kwa ujasiri!!!

Mke wako ye ushaongea nae?!

Usije ukampa mtu nafasi asiyoihitaji/hitaji toka kwako.
 
Duuu!!wengine kuibiwa tu vitu wanakataa kusamehe mke , wakati wenzao wanachapiwa wanasamehe!!!
 
Imeandikwa samehe saba mara sabini.....HONGERA.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
mke wangu kanisaliti nilipokuwa nipo kikazi ktk shughuli zangu nje kidogo ya jiji la dar.Taarifa Nimepata Kutoka Kwa Maswaiba Wangu Wa Karibu Na Kwangu Na Wameniambia Mke Wangu Anatembea Na Rafiki Yangu Wa Karibu.Nilipopata Taarifa Hii Nilimwendea Kitombi Aliyenigongea Mke Wangu Ambaye Ni Rafiki Yangu Wa Karibu Na Amekuwa Muwazi Kwangu Na Amesema Hatorudia Tena Na Mimi Nimeachana Nae For Good.Ila Akirudia Na Nikapata Harufu Yakuwa Amemgonga,atakuwa Amejipa Kibali Cha Kwenda Ahera.

Fake story to grab our precious attention.. Huu uandishi sio wa mtu aliyeto*bewa mke wake.. Tuache utoto peleka chit chat.. Damn it!!d
 
Kiroho safi umemsamehe rafk yako na mm ntakuja si utanisamehee Best ehhh
 
ukimuua huyo kitombi na mkeo utamfanya nini!!
 
Safi....!dunia inawahitaji watu kama wewe maana mimi wife akileta za ivyo tena nijue kwanza naenda kununua majeneza mawili na misalaba miwili usiniulize njia nitakayotumia kufanya Mungu awapende zaidi.
 
Hongera kwa kuwa na moyo nunda kama huo na mimi swali langu ni je mkeo umemwambia au ndo umepiga kimya unangojea jamaa arudie tena..,
 
Con ukweli wowoye ktk hii stori kama kweli mwambie mwizi nae afungukea hapa jf
 
ww sio kitomb?? Msamee mwenzako kam vp coz wote huwa tunakosea
 
Back
Top Bottom