Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.
1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyang'anya Wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!
2. Pili, je kuwa na wawakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.
3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyang'anya Wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!
2. Pili, je kuwa na wawakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.
3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?