Bado najiuliza, uchaguzi tumefanya kwanini?

Bado najiuliza, uchaguzi tumefanya kwanini?

"Kwisha"
"kwisha"
vitisho vya Armsatadam"kwisha"
mbwembwe za mikutano ya nyomi"kwisha"
vitisho vya The Haugue"kwisha"
kulala kwa Mwalimu Nyerere Butiama"kwisha"
Mzee Ponda na bagonza"kwisha"
mapicha mapicha ya mbwembwe"kwisha"
niyeyee tunajambo letu October"kwisha"
Jiwe amejiongezea ulinzi, shuhudia siku ya kuapishwa ndipo utaelewa alivyo muoga
 
Mimi nasubiri kuona hilo bunge nani atakua anambishia nani.
 
Hivi Kikwete kweli anajisikiaje kumwachia nchi huyu mtu mwovu asie haya kabisa!!

Nayeye udogo wake wa akili kutaka kumrithisha Membe ndio imetuletea janga, mkosi na aibu hiikimataifa! Hata kaheshima kadogo tulikokuwa nako kameisha kabisa!

Jiwe na makuwadi wenzie wanaweza jiona wameshinda...lkn ukitafakari vizuri mwisho wa Ibilisi huyu utakuwa mbaya sana!

Hata Kikwete mlimlaumu kaiba.... Leo unamuona mwombezi.... ngumu kuwaelewa
 
Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.

1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyanganya wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!

2. Pili, je kuwa na waakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.

3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Tunasubiri kuiona Tanzania ikiwa kama Ulaya baada ya miaka mitano.
 
Tumefanya uchaguzi kwa sababu sisi ni despotic banana republic.
 
Kuna watu ngumu sana kuwaelewa. Bado najiuliza mbwa mwitu mgonjwa akimzidi mbio swalaa mwenye afya zake bdo ty watapatikana watu wa kusema swala kadhulumiwa
 
Ule wimbo wa Stamina.....


Na kura tulipiga za nini...?

Na kidole tulichovya cha nini...?

Tuliosafiri tulisafiri kwa nini....?

Na mikutano tulienda ya nini...?
 
Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.

1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyanganya Wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!

2. Pili, je kuwa na wawakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.

3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Mkuu huo ndio mtindo wa Fisiemu wa kujenga umoja na upendo wetu.
Ukiona walio wengi wameshapuuza upigaji kura huku wahusika wakiwa hawashtushwi na hilo tambua tuna tatizo lililojificha.
Hawakujifunza uchaguzi sm hawawezi elewa uchaguzi mkuu.
 
Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.

1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyanganya Wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!

2. Pili, je kuwa na wawakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.

3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Ccm inapendwa sana na wananchi
 
Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.

1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyanganya Wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!

2. Pili, je kuwa na wawakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.

3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Piga spana
 
Ushahidi tu mkuu! Lakini tayari tushajua uelekeo.
 
Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.

1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyang'anya Wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!

2. Pili, je kuwa na wawakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.

3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Tuna kiongozi toka burudi
 
Kwani mlikuwa mnategemea nini?

Sisi wengine tumekuwa tukiwaambia kuwa hakuna haja ya kushiriki hiyo ‘charade’, lakini tunaishia kudhihakiwa tu.

Subirini 2025 mshiriki tena kuipa uhalali CCM.
Halafu what next?

Utakuwepo barabarani wakipigwa?
 
And guess what....

Kama vyama vikubwa vya kisiasa vingesusia, hiyo idadi ya wapiga kura ingeweza kushuka zaidi na kuifanya CCM ionekane ni kituko tu mbele ya jamii na hata jumuia ya kimataifa!

Sasa hivi hao wapinzani hawana uhalali wa kulalamika.
Jamii ya kimataifa wanasaidia nini? Sijawahi shuhudia kokote msaada wa jumuiya ya kimataifa ikisaidia.
Bashir amekamatwa juzi baada ya watu wa kwake kumtoa.
 
Back
Top Bottom