Yup!Actually Mimi wala sijashangaa na wala sikuwa na mategemeo tofauti..
Ila nilifikiri watakuwa kama miaka mingine kuiba na kwingine kuacha .
This time wameiba kila jimbo
And guess what....Tazama watu waliojiandikisha halafu hawajapiga kura..ni zaidi ya nusu..
So msimamo wako ni almost ndo msimamo wa watanzania majority
Kamundu, point no3. labda watawala wa CCM watakujibu punde si punde... waulize kwa herufi kubwa...Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.
1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyanganya wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!
2. Pili, je kuwa na waakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.
3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Nikiwaambia wapinzani wasusie chaguzi, hawataki. Hawanielewi.
Endeleeni tu kushiriki.
Very sorry it doesn't help nor change anything many of patriotic Tanzanians love him and that's enough..I hate CCM, i hate Magufuli
Hivi Ponda na Bagonza wapo kweli?? Naona kimyaaaaaaaaa wanasikilizia matokeo"Kwisha"
"kwisha"
vitisho vya Armsatadam"kwisha"
mbwembwe za mikutano ya nyomi"kwisha"
vitisho vya The Haugue"kwisha"
kulala kwa Mwalimu Nyerere Butiama"kwisha"
Mzee Ponda na bagonza"kwisha"
mapicha mapicha ya mbwembwe"kwisha"
niyeyee tunajambo letu October"kwisha"
Nope!Wasiposhiriki mnawaambia wameogopa kukataliwa kwenye box la kura, mara ukisusa sisi twala!
...all in all wote hao waliopita hakuna hata mmoja atakayekwenda nyumbani kwa mwananchi wake na kumsongea ugali au kumchemshia chai!
But this was expected, halafu utashangaa 2025 Wapinzani bila aibu wanajipanga kuingia kwenye chaguzi tena kabla hawajafanya lolote between 2020-2024Historia imeandikwa
Tumeshuhudia daylight robbery..
Chama cha majambazi indeed..
Mkuu mbona ule uchaguzi mdogo wa serekali za mitaa walisusia upinzani. Na sisiem ikajinoma taratibu kwa furaha keki ya nchi.Nikiwaambia wapinzani wasusie chaguzi, hawataki. Hawanielewi.
Endeleeni tu kushiriki.
Swali lako mkuu Kila mmoja anajiuliza, ila nafikiri uchaguzi huu umetusaidia kujua mengi,Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.
1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyanganya wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!
2. Pili, je kuwa na waakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.
3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Swali lako mkuu Kila mmoja anajiuliza, ila nafikili uchaguzi huu umetusaidia kujua mengi,Inasikitisha sana kuona nchi yetu inapoenda kidemokrasia. Kama wewe ni Mtanzania unayependa nchi hii huwezi kufurahia hata kidogo kinachoendelea.
1. Kwanza jiulize kitu kimoja kunyanganya wapinzani nafasi walizoshinda kihalali au kuwazuia haki zao inasaidia vipi taifa letu? Kusaidia CCM sio kusaidia taifa!
2. Pili, je kuwa na waakilishi sehemu nyingine ambao hawajachaguliwa na wananchi ni tatizo kwasababu watu bado wana mioyo yao na huwezi kubadilisha kwa kulazimisha.
3. Kwanini tunapoteza pesa, kuiabisha nchi, kuleta ugomvi mkubwa hivi kwa taifa badala ya kuungana na kuleta maendeleo?
Uchaguzi wa serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.Mkuu mbona ule uchaguzi mdogo wa serekali za mitaa walisusia upinzani. Na sisiem ikajinoma taratibu kwa furaha keki ya nchi.
wapo ila wamezimika kama"mshumaa"Hivi ponda na bagonza wapo kweli?? Naona kimyaaaaaaaaa wanasikilizia matokeo