Bado mpo mnaolitegemea jeshi kuchukua nchi tarehe 29? 😂

Bado mpo mnaolitegemea jeshi kuchukua nchi tarehe 29? 😂

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,155
Reaction score
137,168
Hayawi hayawi yanakuja kuwa.

Zimebaki siku tatu tu siku ya siku kuwadia.

Wachache wetu tuliwaambia kuwa mnajipa matumaini hewa tu.

JWTZ kamwe haliwezi kuipindua serikali ya CCM kwa sababu:

1. JWTZ ni majuha.
Hakuna lolote wanalolielewa kuhusu mambo yanayoendelea nchini. Hawajui chochote kuhusu ubovu wa katiba, utawala mbovu, n.k.

Mfano wa ujuha wa JWTZ: kuna siku nilimuuliza afisa mmoja wa hilo jeshi kuhusu aircraft carriers. Nikamwuliza Tanzania tunazo ngapi? Akasema ‘blaza’ hizo zipo kwenye maeneo yote ya mipakani mwa nchi 😂😂.

Nilimwuliza hilo swali kwa sababu alikuwa anazisifia sana silaha za jeshi. Alikuwa anadai JWTZ ina silaha hatari sana.

Mimi nikajaribu ku reason naye kwa kumwuliza kuhusu bajeti yetu ya ulinzi, kuhusu silaha zinazotengenezwa Tanzania kwa kutumia viwanda na wataalamu wa Kitanzania, na kadhalika.

Badala ya kunijibu maswali yangu, ambayo sidhani kama aliyaelewa, yeye akawa anazungumzia uhatari wa silaha walizonazo [ambazo ni za kizamani].

Dunia inakoelekea sasa hivi binadamu watakuwa hawaendi vitani tena. Yatakuwa maroboti huko kwenye medani za kivita. Madege yasiyo na rubani, nyambizi zisizo na wanamaji, ufyatuzi wa makombora yanayoweza kufika popote pale duniani na yakapiga shabaha kwa usahihi wa hali ya juu, na kadhalika.

Sasa unaweza kusema, ‘Ngabu, huyo ni mtu mmoja tu umeongea naye kuhusu hayo mambo yanayoendelea nchini kijeshi. Wote hawako hivyo’.

Ni kweli kabisa. Wote hawako hivyo. Huyo niliyeongea naye ndo mwenye nafuu. Hao wengine hata kuongea nao mambo ya maana haiwezekani.

2. Hao wachache waliobaki wenye ‘below average IQ’, wameshaonjeshwa asali ya ufisadi.

Hawawezi kufanya wala kusema chochote. Hawawezi wakaukata mkono unaowalisha.

Bila ya kuwa jeshini, hawana uwezo mwingine wowote ule ambao ungewapa fursa ya kushamiri.

3. Kwa kuzingatia hayo niliyoyasema kwenye 1 na 2, nadhani naweza kusema kwa uhakika mkubwa kabisa kuwa sisi hatuna jeshi la wananchi.

Lililopo ni jeshi la kulinda maslahi ya viongozi wa CCM na serikali yao.

Hivyo, kutegemea msaada kutoka kwenye jeshi la kulinda na kutetea maslahi ya CCM, ni kupotoka.

Huo ndo ukweli, hata kama ni mchungu kuukubali.

Btw, Kapteni Tesha kaja akapita tu kama upepo na akapotea mazima 😂.

Au bado mna matumaini kuwa atarudi?
 
Hayawi hayawi yanakuja kuwa.

Zimebaki siku tatu tu siku ya siku kuwadia.

Wachache wetu tuliwaambia kuwa mnajipa matumaini hewa tu.

JWTZ kamwe haliwezi kuipindua serikali ya CCM kwa sababu:

1. JWTZ ni majuha. Ni vilaza wa kutupwa.
Hakuna lolote wanalolielewa kuhusu mambo yanayoendelea nchini. Hawajui chochote kuhusu ubovu wa katiba, utawala mbovu, n.k.

Mfano wa ujuha wa JWTZ: kuna siku nilimuuliza afisa mmoja wa hilo jeshi kuhusu aircraft carriers. Nikamwuliza Tanzania tunazo ngapi? Akasema ‘blaza’ hizo zipo kwenye maeneo yote ya mipakani mwa nchi 😂😂.

Nilimwuliza hilo swali kwa sababu alikuwa anazisifia sana silaha za jeshi. Alikuwa anadai JWTZ ina silaha hatari sana.

Mimi nikajaribu ku reason naye kwa kumwuliza kuhusu bajeti yetu ya ulinzi, kuhusu silaha zinazotengenezwa Tanzania kwa kutumia viwanda na wataalamu wa Kitanzania, na kadhalika.

Badala ya kunijibu maswali yangu, ambayo sidhani kama aliyaelewa, yeye akawa anazungumzia uhatari wa silaha walizonazo [ambazo ni za kizamani].

Dunia inakoelekea sasa hivi binadamu watakuwa hawaendi vitani tena. Yatakuwa maroboti huko kwenye medani za kivita. Madege yasiyo na rubani, nyambizi zisizo na wanamaji, ufyatuzi wa makombora yanayoweza kufika popote pale duniani na yakapiga shabaha kwa usahihi wa hali ya juu, na kadhalika.

Sasa unaweza kusema, ‘Ngabu, huyo ni mtu mmoja tu umeongea naye kuhusu hayo mambo yanayoendelea nchini kijeshi. Wote hawako hivyo’.

Ni kweli kabisa. Wote hawako hivyo. Huyo niliyeongea naye ndo mwenye nafuu. Hao wengine hata kuongea nao mambo ya maana haiwezekani.

2. Hao wachache waliobaki wenye ‘below average IQ’, wameshaonjeshwa asali ya ufisadi.

Hawawezi kufanya wala kusema chochote. Hawawezi wakaukata mkono unaowalisha.

Bila ya kuwa jeshini, hawana uwezo mwingine wowote ule ambao ungewapa fursa ya kushamiri.

3. Kwa kuzingatia hayo niliyoyasema kwenye 1 na 2, nadhani naweza kusema kwa uhakika mkubwa kabisa kuwa sisi hatuna jeshi la wananchi.

Lililopo ni jeshi la kulinda maslahi ya viongozi wa CCM na serikali yao.

Hivyo, kutegemea msaada kutoka kwenye jeshi la kulinda na kutetea maslahi ya CCM, ni kupotoka.

Huo ndo ukweli, hata kama ni mchungu kuukubali.

Btw, Kapteni Tesha kaja akapita tu kama upepo na akapotea mazima 😂.

Au bado mna matumaini kuwa atarudi?
Upeo wako umeishia hapo broo endelea kuamini hayo unayojua wewe mengine storage yako ndogo ukilazimisha unaweza kia chizi
 
Ila sometimes inakatisha moyo kuona eti na wanajeshi nao wanaogopa kama sisi.

Ile press release yao ya kuunga mkono jeshi la polisi ilinikata stimu zote kabisa.

Lakini bado nawapa benefit of doubt wanaweza kuja na kam baki dakika za jioni.
 
Ila sometimes inakatisha moyo kuona eti na wanajeshi nao wanaogopa kama sisi.

Ile press release yao ya kuunga mkono jeshi la polisi ilinikata stimu zote kabisa.

Lakini bado nawapa benefit of doubt wanaweza kuja na kam baki dakika za jioni.
Kwa hio tunaingia road kuuwasha moto au tunanunua uoga?
 
Hayawi hayawi yanakuja kuwa.

Zimebaki siku tatu tu siku ya siku kuwadia.

Wachache wetu tuliwaambia kuwa mnajipa matumaini hewa tu.

JWTZ kamwe haliwezi kuipindua serikali ya CCM kwa sababu:

1. JWTZ ni majuha. Ni vilaza wa kutupwa.
Hakuna lolote wanalolielewa kuhusu mambo yanayoendelea nchini. Hawajui chochote kuhusu ubovu wa katiba, utawala mbovu, n.k.

Mfano wa ujuha wa JWTZ: kuna siku nilimuuliza afisa mmoja wa hilo jeshi kuhusu aircraft carriers. Nikamwuliza Tanzania tunazo ngapi? Akasema ‘blaza’ hizo zipo kwenye maeneo yote ya mipakani mwa nchi 😂😂.

Nilimwuliza hilo swali kwa sababu alikuwa anazisifia sana silaha za jeshi. Alikuwa anadai JWTZ ina silaha hatari sana.

Mimi nikajaribu ku reason naye kwa kumwuliza kuhusu bajeti yetu ya ulinzi, kuhusu silaha zinazotengenezwa Tanzania kwa kutumia viwanda na wataalamu wa Kitanzania, na kadhalika.

Badala ya kunijibu maswali yangu, ambayo sidhani kama aliyaelewa, yeye akawa anazungumzia uhatari wa silaha walizonazo [ambazo ni za kizamani].

Dunia inakoelekea sasa hivi binadamu watakuwa hawaendi vitani tena. Yatakuwa maroboti huko kwenye medani za kivita. Madege yasiyo na rubani, nyambizi zisizo na wanamaji, ufyatuzi wa makombora yanayoweza kufika popote pale duniani na yakapiga shabaha kwa usahihi wa hali ya juu, na kadhalika.

Sasa unaweza kusema, ‘Ngabu, huyo ni mtu mmoja tu umeongea naye kuhusu hayo mambo yanayoendelea nchini kijeshi. Wote hawako hivyo’.

Ni kweli kabisa. Wote hawako hivyo. Huyo niliyeongea naye ndo mwenye nafuu. Hao wengine hata kuongea nao mambo ya maana haiwezekani.

2. Hao wachache waliobaki wenye ‘below average IQ’, wameshaonjeshwa asali ya ufisadi.

Hawawezi kufanya wala kusema chochote. Hawawezi wakaukata mkono unaowalisha.

Bila ya kuwa jeshini, hawana uwezo mwingine wowote ule ambao ungewapa fursa ya kushamiri.

3. Kwa kuzingatia hayo niliyoyasema kwenye 1 na 2, nadhani naweza kusema kwa uhakika mkubwa kabisa kuwa sisi hatuna jeshi la wananchi.

Lililopo ni jeshi la kulinda maslahi ya viongozi wa CCM na serikali yao.

Hivyo, kutegemea msaada kutoka kwenye jeshi la kulinda na kutetea maslahi ya CCM, ni kupotoka.

Huo ndo ukweli, hata kama ni mchungu kuukubali.

Btw, Kapteni Tesha kaja akapita tu kama upepo na akapotea mazima 😂.

Au bado mna matumaini kuwa atarudi?
Sema wewe jamaa huwa reasoning yako ni very looow.

Sote tunajua JWTZ ni majuha, ila tunaishi kwa glory ya vita ya Kagera ambayo kila MTZ alishiriki.

Kuhusu maandamano, huo ni utamaduni mpya, na kama ikitokea ni sawa isipotokea pia ni sawa maana WaTZ siyo violent na hawajazoea.

Ila ikiwa CCM hawatakuja kubadili AKILI, Tanzania hata miaka 10 mbele haitafika, itakuwa DRC 2.0. Na violent maandamano yatatokea tu.

Wabongo tuna tabia moja mbovu ya kutafuta shujaa mmoja, ndio apambane wakati ambao wahuni wachache, wamepora mifumo ya umma wanaitumia KUPORA, KUIBA na KUUA watu.

Kupata mageuzi ya kweli kila mmoja lazima ashiriki kwa nafasi yake.

Hata hao wanaompa Mange documents wanashiriki kwa namna yao
 
Au bado mna matumaini kuwa atarudi?
Na ni hivyo hivyo mnavyo wazungumzia waTanzania kwa ujumla wao!
Kwa hiyo haijalishi, uwe unazungumzia ujuha wa wanajeshi, ni maneno hayo hayo mnayo yatumia kwa waTanzania.
Hivi ndivyo ilivyo akili mbovu mliyo nayo vichwani mwenu.


Achana na hayo ya kipuuzi unayosimulia hapa, Oktoba 29 ndiyo hiyo inapiga hodi. Anza kutunga stori nyingine kama ilivyo kawaida yako, ya kujikosha.
 
Bure kabisa,hawa mnaowaita wanajeshi nikiwaona huwa naionea huruma nchi yetu...wengi ile ni ajira tu kama ualimu,wapo pale ili maisha yaende.
 
Back
Top Bottom