Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,319
- Thread starter
- #401
Unanisikitisha sanaNdiyo mnatangulizana clinic wewe na mkeo na Baba &mama wote kuhudhulia clinic
Unanisikitisha sanaNdiyo mnatangulizana clinic wewe na mkeo na Baba &mama wote kuhudhulia clinic
Waje duniani kwa staha na mpangilio maalum mkuuKama wapo tumboni nikuwatoa tu walete baraka duniani.
Jamaaani, yani watoto wote hao alafu bado anajidhalilisha kwa waka mwana zake (in-laws)?Kuna dada alipishana na mke wa mwanaye mke wa mwanaye anaingia kujifungua naye anatoka haaa haaa alifunga na uzazi hapo hapo na alikuwa na watoto kama 10 hivi
Katika akina mama 200 wanaozaa sambamba na watoto wao, utakutana na kesi moja tu ya namna hii. Hao wengine 199 ni kukosa tu staha na maadiliSijambo zuri na linasikitisha sana, ila kuna baadhi mazingira yanapelekea swala hilo, mfano kuna watu wanabakwa wakiwa wadogo miaka 16 anajifungua, anaenda shule baada ya hapo anaolewa unategemea mtoto atakaye mzaa apishane na wabinti yake?, kwa nyongeza umesema mambo ya zamani hata hivo mtu wa1 999, umemeliza shule wewe kwasasa unaesabika kama wa zanani usasa unaanzia 2015...
Wanasikitisha sanaYani mimi nawashangaa jinsi mnavyoshangaa haya mambo.
Njoeni huku Tanga mjionee sasa haya mambo bila kuhadithiwa nawatembeza nyumba hadi nyumba.
Sijui mkuu. Labda wewe utusaidieKwani katiba inasemaje?
ndio jamii zetu za kiafrika wengine tunazeeka mapema kwa kuwa huwa tunalazimika kupokea shikamoo za waliotuacha mbali kiumri yan jitu limekupita miaka kuanzia nane huko eti linakuamkia kisa baba yake mdogo au anko wake aaaaaah...... (tusichukulie kila kitu serious)
Ngoja nikupe hii case sasa...hapa kuna maza mmoja yani wajukuu zake ndio wanamlelea na kumbeba mgongoni mtoto wake wa mwisho(sina uhakika kama huyu ndio atakuwa wa mwisho)Wanasikitisha sana
Basi na mimi nalalamika kwa nini wasizaee,waendeleee jamanii tuongeze jamiiii.Hayo malalamiko yake ndio hoya yenyewe hiyo mkuu
Wanamuita baba kwa sababu babu alikosea kuzaa uzeeniNINA JAMAA YANGU BAADA YA BABA YAKE KUSUMBULIWA NA MARADHI NA VILE BABA YAKE ALIKUWA NA MTOTO MDOGO AKAAMUA KUCHUKUA MDOGO WAKE AKAE NAE.
CHANGAMOTO INAKUJA WATOTO WAKE WAKIMWITA JAMAA YANGU BABA NA MDOGO WAKE ANAMWITA BABA BADALA YA KAKA.
Baba mdogo wa miaka miwili huyo ni mtoto wako wewe punguza ushambaEti maadili wewe unajua maadili gani ?.Kuzaa ni kukosa maadili? Nchi inataka watu wewe unaongea upuuzi ? Mpaka binti anaolewa maana yake anakuwa anajua mama yake alifanya nini ndipo akazaliwa yeye sasa hapo ajabu kitu gani?. Usituletee tabia za huko kwenu ulaya. Afrika ambapo binti anazaa akiwa miaka14 anarudi shule anamaliza chuo kikuu anazaa wa pili halafu yule kwanza ameshapevuka na anaweza olewa na akazaa .Amka Afrika siyo Ulaya.Afrika unaweza kuwa na miaka 25 na bado unaye Baba Mdogo wa miaka 2.
Utakua boredHabari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania;
Bado kuna watu wazima wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili.
View attachment 1667340
Siku ya sherehe ya mwaka mpya nilikutana na dada mmoja anaitwa Veronica (hili sio jina lake halisi) ambaye nilimaliza naye shule ya msingi mwaka 1999.
Huyu dada nilikwisha kutana naye mwezi kama wa August maeneo ya Banana Ukonga huku Dar. Kwa kuwa tulikuwa hatujaonana miaka takribani 15 tulipiga story nyingi sana za zamani.
Sasa nilipokutana naye tena Ijumaa ya tarehe 01 January 2020 huku Kivule ninapokaa (kwa maana aliniambia anakaa Kata moja na mimi) nilimuona anaongozana na binti mdogo wa miaka kama 9 hivi.
Tena huyo binti wamefanana kweli kweli. Basi tulipoonana tulisalimiana tena kwa furaha sana. Baada ya story kadhaa nikamuuliza, huyu ndio mtoto wako wa kwanza? Akakataa. Akasema hapana, huyu sio mtoto wangu.
View attachment 1667350
Huyu ni mdogo wangu wa mwisho. Mtoto wangu ameenda kwa baba yake kusalimia atarudi shule zikifunguliwa. Sema ndio rafiki yake mkubwa sana huyu (mdogo wake wa mwisho) kwa maana wamepishana mwaka mmoja tu.
Mimi sikuwa na jambo lingine la kumwambia zaidi tu ya kumpa hongera lakini nikawa ninajisemea tu kimoyomoyo "ina maana haya masuala ya mtoto na mama kuzaa kwa pamoja bado yanaendelea katika karne hii ya 21?"
Hii issue nilikuwa ninaiona tu kwa wazee wa zamani ambapo unakuta mtu unakutambulisha "huyu ndio baba yangu mdogo/shangazi yangu tumbo moja na baba" au "huyu ndio mama yangu mdogo tumbo moja na mama" lakini ukijaribu kuwatazama actually wanalingana umri au wamepishana mwaka mmoja tu.
View attachment 1667352
Mimi ni moja kati ya watu wanaokerwa sana na lugha za hawa dada/mama zetu manesi lakini linapokuja suala la kukemea wamama/wababa wanaoendeleza utamaduni huu wa hovyo mimi ninawaunga mkono sana.
Kuna mtoto wa shangazi yangu mmoja yeye ni nurse huko Geita anakwambia mama mtu mzima wa design hii akija kujifungua (wanawafahamu sana kwa maana vijijini watu ni wachache) huwa wanawachamba kwa maneno na lugha chafu mbele ya waume zao.
Kuna mama mmoja aliwahi kufariki mwaka 2006 alipokuwa anajifungua wakati bado tunakaa kule Keko. Sasa wakati wa mazishi watu wamekusanyika na wageni wanataka kujua chanzo cha kifo chake ikawa sasa ni aibu kusema kuwa amekufa kwa sababu ya "complications" za uzazi ilhali binti yake mkubwa ana mtoto wa miaka 2 tayari.
View attachment 1667341
Mimi binafsi ninaona sio jambo la hekima wala busara kwa mama/baba kuendelea kuzaa watoto wengine wadogo ilhali wale "first born" wamekwisha kuwa wababa/wamama wanaokaribia ku-reproduce.
Sio vizuri mama kuonekana ana tumbo kubwa la ujauzito pindi wale "first borns" wanapokuwa wamepevuka akili.
Kwa maoni yako, ni sahihi mama na binti/mtoto kuendelea kuzaa kwa pamoja? Mtoto wa mwisho kulingana na mjukuu wa kwanza?
"HAPPY NEW YEAR 2021"
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Maoni ya wadau
=====
Kuzaa kwa staha ni jambo jema sanaAisee, sita? Well, kama uzazi upo na hauna complications, una uwezo wa kulea na kusomesha ni sawa kabisa.
Sipo humu jamiiforums kufurahisha watu kwa maana kuna members zaidi ya 500,000 hivyo siwezi kupendwa na kila mtuUtakua bored
Wapi wameweka limit ya watu kuwa na watoto?
Ni mentality za hovyo sana hizi mkuuNdo mambo yetu ya kibongo hayo, Mtoto yuko darasa la Saba na Dingi mdogo ndo amezaliwa au
Miaka 18huyo mkubwa Sana , wamasai ni kuanzia 14Tuseme alizaa mtoto akiwa na miaka 18.
Sasa akiwa na miaka 40 binti ana miaka 22, sawa wote wanazaa sioni ubaya hapo.
Mmh hesabu yenyewe sijui nimepata.
Again umeborekaSipo humu jamiiforums kufurahisha watu kwa maana kuna members zaidi ya 500,000 hivyo siwezi kupendwa na kila mtu
Kuna members wengi wajinga sana humu eti wanataka kunipangia kipi cha kuandika kana kwamba wananilipa pesaAgain umeboreka
Nani kasema umfurahishe?
Hujapangiwa bosi wala hakuna malipoKuna members wengi wajinga sana humu eti wanataka kunipangia kipi cha kuandika kana kwamba wananilipa pesa