Badili mkao wa kitanda chumbani

Badili mkao wa kitanda chumbani

Me hii kitu hainihusu nilishagasahau vitu vya namna hiyo long time. hata kama nikibadili kila siku kule ninakotoa na ninakopeleka ni mbonji mwanzo-mwisho
 
daah mshana eeh! wewe sio wa kunikimbiza ndani time hii ndugu yangu.. hata kuingia ndani tena naogopa sasa
 
Unapata mvinyo tartiiiiiiibuuuuu....wk end imeanza.
1469199338281.jpg

Kama kawa kama dawa
 
Me hii kitu hainihusu nilishagasahau vitu vya namna hiyo long time. hata kama nikibadili kila siku kule ninakotoa na ninakopeleka ni mbonji mwanzo-mwisho
Lakini bado si uko hai?
1469210559877.jpg
 
Naamini huu ni wakati muafaka wa kusoma huu uzi...!kama uko chumbani kwako angalia position ya kitanda chako na jiulize kama una amani...!!!

Wengi wetu hupenda kubadili position ya kitanda chumbani kila baada ya muda fulani...hii ni natural attraction ambayo huleta mtazamo mpya na mvuto pia.

Lakini kama wewe ni mfuatiliaji lazima Ulishawahi kukumbana na hiki kisanga kwamba baada tu ya kubadili mkao wa kitanda chumbani basi maruerue ndoto za kutisha na majinamizi vimekuwa havikomi usiku chumbani

Wengi bila kujua asili ya tatizo wamejikuta wakikimbilia kwa waganga wa kienyeji na kupoteza pesa nyingi lakini ukweli ni huu hapa

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni mapito ya nguvu za giza

.Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho chafu

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni centre ya mawasiliano kati ya nguvu za giza na ulimwengu wa roho

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho za uharibifu

Hivyo basi unapobadili position ya kitanda na usiku wa kwanza au wiki ya kwanza ukaanza kupata mambo mageni usihangaike wala kupata shida na waganga wa kienyeji ama fikra za kufanyiwa ushirikina peleka kitanda chako upande mwingine utakuwa umesolve tatizo ambalo lingekugharimu pesa mingi.

Angalizo;
Si wote wanaokutana na hizi hali na kwa wale wanaosali na kufanya dua kabla ya kulala ni mara chache mno kukutana na hizi hali

Akili yako inahitaji msaada. Hivi kweli bado unamawazo potofu namna hii? ?!!kweli Tanzania bado sana sijui umeamka na mbege za wapi aisee
 
Akili yako inahitaji msaada. Hivi kweli bado unamawazo potofu namna hii? ?!!kweli Tanzania bado sana sijui umeamka na mbege za wapi aisee
Replies za namna hii kwangu huwa ni burudani tuu kwakuwa najua hujui na hutaki kujua ...! Hauko peke yako mko wengi halafu kiuhalisia ni kwamba hakuna wabovu kama ninyi
 
Replies za namna hii kwangu huwa ni burudani tuu kwakuwa najua hujui na hutaki kujua ...! Hauko peke yako mko wengi halafu kiuhalisia ni kwamba hakuna wabovu kama ninyi
Nyie ndio mnarudisha maendeleo ya nchi nyuma! Think big aisee
 
Nyie ndio mnarudisha maendeleo ya nchi nyuma! Think big aisee
Nikikwambia fafanua ulichoandika walau kwa para mbili tu najua wazi hutaweza, kama nakuonea au nakusingizia jaribu
 
Nyongeza kwa wasomaji. Hata siku moja usiweke kitanda sehemu ya kichwa ikaelekezwa kaskazini. Elekeza sehemu yoyote isipokuwa kaskazini tu. Sababu za kutoelekeza kichwa kaskazini ni kwa sababu zifuatazo. Kwanza kwenye damu ya mwanadamu kuna kitu kinaitwa Haemoglobin ambayo ina madini ya iron ambayo ndiyo utumika kusafirisha oxygen kwenye mwili wa binadamu. Dunia pia imejazwa na magnetic field ambazo ambazo sifa zake ni kwamba siku zote ni kwamba nguvu za uvutano uelekea kazikanini. Hivyo basi u napolala wakati kichwa kimelekea kazikazini madhara yake ni kwamba nguvu ya uvutano ya sumaku (magnetic field) itavuta ubongo wako uliona madini ya chuma (iron) na kukusababishia mgandamizo (pressure) kwenye ubongo wako ambao unaweza kukusababisha stroke.
Duuh huu utaalam aisee teh teh teh,hawa ndo Wakina Newton wa kibongo.
 
Huwa napenda chumbani kwangu kuweka kitanda kati kati ya chumba, kulia na kushoto kuwa na nafasi it means naweza panda kitandani upande wowote.
 
Kuna kitabu nilisoma kinashauri ulale kufuata compus direction N <-> S sababu kuna nguvu za mvutano za asili zinazohusiana moja kwa moja na maisha ya mwanadamu.
 
Back
Top Bottom