Badili mkao wa kitanda chumbani

Badili mkao wa kitanda chumbani

Naamini huu ni wakati muafaka wa kusoma huu uzi...!kama uko chumbani kwako angalia position ya kitanda chako na jiulize kama una amani...!!!

Wengi wetu hupenda kubadili position ya kitanda chumbani kila baada ya muda fulani...hii ni natural attraction ambayo huleta mtazamo mpya na mvuto pia.

Lakini kama wewe ni mfuatiliaji lazima Ulishawahi kukumbana na hiki kisanga kwamba baada tu ya kubadili mkao wa kitanda chumbani basi maruerue ndoto za kutisha na majinamizi vimekuwa havikomi usiku chumbani

Wengi bila kujua asili ya tatizo wamejikuta wakikimbilia kwa waganga wa kienyeji na kupoteza pesa nyingi lakini ukweli ni huu hapa

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni mapito ya nguvu za giza

.Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho chafu

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni centre ya mawasiliano kati ya nguvu za giza na ulimwengu wa roho

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho za uharibifu

Hivyo basi unapobadili position ya kitanda na usiku wa kwanza au wiki ya kwanza ukaanza kupata mambo mageni usihangaike wala kupata shida na waganga wa kienyeji ama fikra za kufanyiwa ushirikina peleka kitanda chako upande mwingine utakuwa umesolve tatizo ambalo lingekugharimu pesa mingi.

Angalizo;
Si wote wanaokutana na hizi hali na kwa wale wanaosali na kufanya dua kabla ya kulala ni mara chache mno kukutana na hizi hali
Mshana jr kwa Mungu wewe ni jipu. Nijuze hili kama unaufahamu nalo, mimi nikilala chini ktk godoro tu pasipo kitanda, nalala usingizi fofofo kitakachonistua ni alarm tu km nimeitegesha tofauti kbs na kitandani. Je kuna siri gani hapa?
 
Mshana jr kwa Mungu wewe ni jipu. Nijuze hili kama unaufahamu nalo, mimi nikilala chini ktk godoro tu pasipo kitanda, nalala usingizi fofofo kitakachonistua ni alarm tu km nimeitegesha tofauti kbs na kitandani. Je kuna siri gani hapa?
hicho kitanda chako nacho ni jipu! Je Ulishawahi kulala na mwanamke ukamuahidi kumuoa kisha ukampotezea? Hilo limefanyiwa colabo
 
Nyongeza kwa wasomaji. Hata siku moja usiweke kitanda sehemu ya kichwa ikaelekezwa kaskazini. Elekeza sehemu yoyote isipokuwa kaskazini tu. Sababu za kutoelekeza kichwa kaskazini ni kwa sababu zifuatazo. Kwanza kwenye damu ya mwanadamu kuna kitu kinaitwa Haemoglobin ambayo ina madini ya iron ambayo ndiyo utumika kusafirisha oxygen kwenye mwili wa binadamu. Dunia pia imejazwa na magnetic field ambazo ambazo sifa zake ni kwamba siku zote ni kwamba nguvu za uvutano uelekea kazikanini. Hivyo basi u napolala wakati kichwa kimelekea kazikazini madhara yake ni kwamba nguvu ya uvutano ya sumaku (magnetic field) itavuta ubongo wako uliona madini ya chuma (iron) na kukusababishia mgandamizo (pressure) kwenye ubongo wako ambao unaweza kukusababisha stroke.
Everywhere is north, south, east and west. Kwa hii law yako mi ninaipinga kabisa

Mfano if I am at the middle and I ask you to move Southside from my point, where would I be?, and if I am at the same position and I ask you move to eatside, where would I be from your position, apply these to all 4 cardinals and you will agree with me.
 
Everywhere is north, south, east and west. Kwa hii law yako mi ninaipinga kabisa

Mfano if I am at the middle and I ask you to move Southside from my point, where would I be?, and if I am at the same position and I ask you move to eatside, where would I be from your position, apply these to all 4 cardinals and you will agree with me.
There is no such theory, hiyo ni sayansi yako tu mkuu. There is no everywhere is north. Otherwise compasss zisingekuwepo. Or theory ya magnetism isingekuwepo kwa theory yako hiyo. Unachokizungumzia ni celestial sphere. Lakini kumbuka hii ni imaginary. Hata ungekuwa kwenye centre ya dunia bado north ipo tu. Kwa theory yako inamaana hata hiyo 4 cardinal haipo sasa. Kwa sababu 4 cardinal ndio inadefine hizo directions.
 
Mi mbona nabdlshaga kuutwa na siyaonag hayo! Imani nabayana na kuamini yasiiyoonekana na ndoto ni bayana na mambo uliyoyawazaaa
 
Kaka mimi nikilalaga usiku huwa naskiaga sehemu ya mbele ya ubongo wangu, maeneo ya kusujudia apa kama kuna vuta kabisa kama kuna kitu kipo ndan nahis hii inatokeaga kila siku kuna tatizo mkuu
 
There is no such theory, hiyo ni sayansi yako tu mkuu. There is no everywhere is north. Otherwise compasss zisingekuwepo. Or theory ya magnetism isingekuwepo kwa theory yako hiyo. Unachokizungumzia ni celestial sphere. Lakini kumbuka hii ni imaginary. Hata ungekuwa kwenye centre ya dunia bado north ipo tu. Kwa theory yako inamaana hata hiyo 4 cardinal haipo sasa. Kwa sababu 4 cardinal ndio inadefine hizo directions.
...mi nilikuelewa lakini nikajaribu kuwaza issue ya magnetism, but now nimejaribu kutafakari Ni kuona you got a point, tunajifunza pia mdau, kudos
 
There is no such theory, hiyo ni sayansi yako tu mkuu. There is no everywhere is north. Otherwise compasss zisingekuwepo. Or theory ya magnetism isingekuwepo kwa theory yako hiyo. Unachokizungumzia ni celestial sphere. Lakini kumbuka hii ni imaginary. Hata ungekuwa kwenye centre ya dunia bado north ipo tu. Kwa theory yako inamaana hata hiyo 4 cardinal haipo sasa. Kwa sababu 4 cardinal ndio inadefine hizo directions.
...mi nilikuelewa lakini nikajaribu kuwaza issue ya magnetism,
 
...mi nilikuelewa lakini nikajaribu kuwaza issue ya magnetism,
Mbona inaeleweka vizuri tu Mkuu. Dunia yetu imejaa magnetic field sehemu kubwa. Ndio maana kusoma compass ili upate true measurements unaconsider variation na deviation. Hizi ni effects za earth's magnetic field. Pia Haemoglobin in madini ya chuma, ndio maana unapougua anemia ukienda hospital unaambiwa una upungufu wa madini chuma (iron-Fe). Apply physics kidogo ya chuma na sumaku. Lazima kutakuwa na uvutano ambao utacompress au ku stretch ubongo wako unapolala ukiangalia North kwa kutegemea directions za hizo earth's magnetic field.
 
Mbona inaeleweka vizuri tu Mkuu. Dunia yetu imejaa magnetic field sehemu kubwa. Ndio maana kusoma compass ili upate true measurements unaconsider variation na deviation. Hizi ni effects za earth's magnetic field. Pia Haemoglobin in madini ya chuma, ndio maana unapougua anemia ukienda hospital unaambiwa una upungufu wa madini chuma (iron-Fe). Apply physics kidogo ya chuma na sumaku. Lazima kutakuwa na uvutano ambao utacompress au ku stretch ubongo wako unapolala ukiangalia North kwa kutegemea directions za hizo earth's magnetic field.
Nimepata darasa la bure hapa! Thanks Invisble275
 
Back
Top Bottom