Badili mkao wa kitanda chumbani

Badili mkao wa kitanda chumbani

Naamini huu ni wakati muafaka wa kusoma huu uzi...!kama uko chumbani kwako angalia position ya kitanda chako na jiulize kama una amani...!!!

Wengi wetu hupenda kubadili position ya kitanda chumbani kila baada ya muda fulani...hii ni natural attraction ambayo huleta mtazamo mpya na mvuto pia.

Lakini kama wewe ni mfuatiliaji lazima Ulishawahi kukumbana na hiki kisanga kwamba baada tu ya kubadili mkao wa kitanda chumbani basi maruerue ndoto za kutisha na majinamizi vimekuwa havikomi usiku chumbani

Wengi bila kujua asili ya tatizo wamejikuta wakikimbilia kwa waganga wa kienyeji na kupoteza pesa nyingi lakini ukweli ni huu hapa

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni mapito ya nguvu za giza

.Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho chafu

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni centre ya mawasiliano kati ya nguvu za giza na ulimwengu wa roho

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho za uharibifu

Hivyo basi unapobadili position ya kitanda na usiku wa kwanza au wiki ya kwanza ukaanza kupata mambo mageni usihangaike wala kupata shida na waganga wa kienyeji ama fikra za kufanyiwa ushirikina peleka kitanda chako upande mwingine utakuwa umesolve tatizo ambalo lingekugharimu pesa mingi.

Angalizo;
Si wote wanaokutana na hizi hali na kwa wale wanaosali na kufanya dua kabla ya kulala ni mara chache mno kukutana na hizi hali
................Angalizo; Si wote wanaokutana na hizi hali na kwa wale wanaosali na kufanya dua kabla ya kulala ni mara chache mno kukutana na hizi hali................... Hasa kwa hakika.
 
hivi ni sahii kununua kitanda au godoro la mtumba au alilotumia mtu mwingine,au ni sahihi kuoa na ukaendelea kutumia kitanda chako cha enzi za ubachela amabacho makahaba rasmi na wasio rasmi walilala
Hahhahahaaaa hii haina madhara kaka labda tu kama hapo nyuma lilifanyiwa colabo na mambo yetu yale
Vp naona jana hatukuwasiliana tena, kama upo maeneo tuonane
 
Hahhahahaaaa hii haina madhara kaka labda tu kama hapo nyuma lilifanyiwa colabo na mambo yetu yale
Vp naona jana hatukuwasiliana tena, kama upo maeneo tuonane
ahahaha kuna makahaaba wengine wana gundu mkuu,itabidi nikuone leo.ila kuna kabila mbeya ni marufuku kwa mwanaume kuoa na kumlaza mkeo kwenye kitanda cha zamani
 
yaani kalumanzila nawe una mambo!! mie nishakigeuza weeee kila upande ila usingizi mtamuuuu!!
 
Naamini huu ni wakati muafaka wa kusoma huu uzi...!kama uko chumbani kwako angalia position ya kitanda chako na jiulize kama una amani...!!!

Wengi wetu hupenda kubadili position ya kitanda chumbani kila baada ya muda fulani...hii ni natural attraction ambayo huleta mtazamo mpya na mvuto pia.

Lakini kama wewe ni mfuatiliaji lazima Ulishawahi kukumbana na hiki kisanga kwamba baada tu ya kubadili mkao wa kitanda chumbani basi maruerue ndoto za kutisha na majinamizi vimekuwa havikomi usiku chumbani

Wengi bila kujua asili ya tatizo wamejikuta wakikimbilia kwa waganga wa kienyeji na kupoteza pesa nyingi lakini ukweli ni huu hapa

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni mapito ya nguvu za giza

.Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho chafu

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni centre ya mawasiliano kati ya nguvu za giza na ulimwengu wa roho

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho za uharibifu

Hivyo basi unapobadili position ya kitanda na usiku wa kwanza au wiki ya kwanza ukaanza kupata mambo mageni usihangaike wala kupata shida na waganga wa kienyeji ama fikra za kufanyiwa ushirikina peleka kitanda chako upande mwingine utakuwa umesolve tatizo ambalo lingekugharimu pesa mingi.

Angalizo;
Si wote wanaokutana na hizi hali na kwa wale wanaosali na kufanya dua kabla ya kulala ni mara chache mno kukutana na hizi hali
Mimi mkuu mshana nahitaji uniambie ni wapi naweza kupata pete ya kuniwezesha kupata fedha kwa miujiza
 
Naamini huu ni wakati muafaka wa kusoma huu uzi...!kama uko chumbani kwako angalia position ya kitanda chako na jiulize kama una amani...!!!

Wengi wetu hupenda kubadili position ya kitanda chumbani kila baada ya muda fulani...hii ni natural attraction ambayo huleta mtazamo mpya na mvuto pia.

Lakini kama wewe ni mfuatiliaji lazima Ulishawahi kukumbana na hiki kisanga kwamba baada tu ya kubadili mkao wa kitanda chumbani basi maruerue ndoto za kutisha na majinamizi vimekuwa havikomi usiku chumbani

Wengi bila kujua asili ya tatizo wamejikuta wakikimbilia kwa waganga wa kienyeji na kupoteza pesa nyingi lakini ukweli ni huu hapa

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni mapito ya nguvu za giza

.Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho chafu

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni centre ya mawasiliano kati ya nguvu za giza na ulimwengu wa roho

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho za uharibifu

Hivyo basi unapobadili position ya kitanda na usiku wa kwanza au wiki ya kwanza ukaanza kupata mambo mageni usihangaike wala kupata shida na waganga wa kienyeji ama fikra za kufanyiwa ushirikina peleka kitanda chako upande mwingine utakuwa umesolve tatizo ambalo lingekugharimu pesa mingi.

Angalizo;
Si wote wanaokutana na hizi hali na kwa wale wanaosali na kufanya dua kabla ya kulala ni mara chache mno kukutana na hizi hali

Pamoja na kwamba umeegemea upande MMOJA tu, pia kwenye swala la IMANI tunaamini kuna roho wa Mungu wa kupambana na nguvu za giza. Kwa muumini aliyesimama imara wala hawezi tishiwa na chochote maana Mungu akiwa upande wetu ni nani awezaye kutushinda? Mungu ni muumba na mweza yote, hakuna kiumbe kinachoweza kusimama mbele yake. So guys, welcome close to GOD for everlasting safety!
 
Pamoja na kwamba umeegemea upande MMOJA tu, pia kwenye swala la IMANI tunaamini kuna roho wa Mungu wa kupambana na nguvu za giza. Kwa muumini aliyesimama imara wala hawezi tishiwa na chochote maana Mungu akiwa upande wetu ni nani awezaye kutushinda? Mungu ni muumba na mweza yote, hakuna kiumbe kinachoweza kusimama mbele yake. So guys, welcome close to GOD for everlasting safety!
Umesoma hapo kwenye angalizo lakini?
 
Naamini huu ni wakati muafaka wa kusoma huu uzi...!kama uko chumbani kwako angalia position ya kitanda chako na jiulize kama una amani...!!!

Wengi wetu hupenda kubadili position ya kitanda chumbani kila baada ya muda fulani...hii ni natural attraction ambayo huleta mtazamo mpya na mvuto pia.

Lakini kama wewe ni mfuatiliaji lazima Ulishawahi kukumbana na hiki kisanga kwamba baada tu ya kubadili mkao wa kitanda chumbani basi maruerue ndoto za kutisha na majinamizi vimekuwa havikomi usiku chumbani

Wengi bila kujua asili ya tatizo wamejikuta wakikimbilia kwa waganga wa kienyeji na kupoteza pesa nyingi lakini ukweli ni huu hapa

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni mapito ya nguvu za giza

.Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho chafu

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni centre ya mawasiliano kati ya nguvu za giza na ulimwengu wa roho

Ndani ya vyumba vyetu vya kulala kuna kona au upande ni makazi ya roho za uharibifu

Hivyo basi unapobadili position ya kitanda na usiku wa kwanza au wiki ya kwanza ukaanza kupata mambo mageni usihangaike wala kupata shida na waganga wa kienyeji ama fikra za kufanyiwa ushirikina peleka kitanda chako upande mwingine utakuwa umesolve tatizo ambalo lingekugharimu pesa mingi.

Angalizo;
Si wote wanaokutana na hizi hali na kwa wale wanaosali na kufanya dua kabla ya kulala ni mara chache mno kukutana na hizi hali


well noted
 
Nyongeza kwa wasomaji. Hata siku moja usiweke kitanda sehemu ya kichwa ikaelekezwa kaskazini. Elekeza sehemu yoyote isipokuwa kaskazini tu. Sababu za kutoelekeza kichwa kaskazini ni kwa sababu zifuatazo. Kwanza kwenye damu ya mwanadamu kuna kitu kinaitwa Haemoglobin ambayo ina madini ya iron ambayo ndiyo utumika kusafirisha oxygen kwenye mwili wa binadamu. Dunia pia imejazwa na magnetic field ambazo ambazo sifa zake ni kwamba siku zote ni kwamba nguvu za uvutano uelekea kazikanini. Hivyo basi u napolala wakati kichwa kimelekea kazikazini madhara yake ni kwamba nguvu ya uvutano ya sumaku (magnetic field) itavuta ubongo wako uliona madini ya chuma (iron) na kukusababishia mgandamizo (pressure) kwenye ubongo wako ambao unaweza kukusababisha stroke.
duh.............kua uyaone
 
Ama kweli Kigoma wakarimu sana, maana si kwa karibu hizo,
Nitakaribia Mungu akipenda,

Mwanga au Ujiji?
...hahahaha...hata ukishindwa kukaribia 'kwa bahati mbaya' atakuwa kapenda pia!
....Mwanga,Ujiji waulizia asili,ama?
 
Back
Top Bottom