Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,736
- 6,155
Kazi ya pombe hiyo, katengenisha nchi nzima alafu anajiita rais wa wote, ila akianza kutoa speech tu utasikia nimetumwa na wazaa rangi za kijani, mara anasifia mikoa ya waliompigia kura, mtenganishi namba moja, ovyo kabisa yule kijibabu. Kuna watu wanaendana na majina yao kabisa.