Bad News: Leticia Nyerere hatunae tena

Bad News: Leticia Nyerere hatunae tena

Status
Not open for further replies.
Huyu ndio yule mbunge wa chadema aliyekuwa anaishi marekani ? Kama kweli aende kwa amani , wote safari ni moja
 
weka Tanzia; Then andika kuwa amefariki ili ikae ki official kwani we mgeni jf?
 
Aliachana na ukamanda tena kwa nyodo Mungu awafariji wafiwa wote ila usaliti ni mbaya sana

Bora ufute hii comment yako yenye chuki. Shame on you! Ukamanda wenu ndo kitu gani mpaka umwite marehemu msaliti. Shame on you!
 
Bora ufute hii comment yako yenye chuki. Shame on you! Ukamanda wenu ndo kitu gani mpaka umwite marehemu msaliti. Shame on you!

Hao ni watoto wanao ona siasa kama imeanza miaka hii ..hawana hata heshima ..ukamanda gani wa kimpumbavu huo ...Hawa hata usibishane nao ndo walivyofundishwa na kupandikizwa chuki zisizo za msingi
 
si naye ni msaliti na alipiga kura ya ndio kwa katiba ya sita? si ndo shughuli zake za kibunge alifanyia newyork? haya, mbele yake nyuma yangu
 
Aliekua mbunge wa viti maalum wa Chadema na aliekua mke wa Madaraka Nyrerere Leticia Nyerere hatunae Tena Duniani.

Kafia nchini marekani.

Chanzo: Mimi mwenyewe.

Yani we ndo uliyemuua?!
 
Aliekua mbunge wa viti maalum wa Chadema na aliekua mke wa Madaraka Nyrerere Leticia Nyerere hatunae Tena Duniani.

Kafia nchini marekani.

Chanzo: Mimi mwenyewe.

Baadae Alirudi Magambani? Nilisikia Alirejea C.C.M Hebu Tujuze Vzr,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom