Bad News: Leticia Nyerere hatunae tena

Bad News: Leticia Nyerere hatunae tena

Status
Not open for further replies.
Mmh! Hii habari niliiona jana IG, na kuna mtu alianzisha uzi hapa jana, kuhusu habari hii ghafla ukafutwa
 
Sasa ukweli ni upi?Mara kafa mara hajafa....
 
Nabisha source yako wakati hii habari nimeisikia tangia Asubuhi wewe source ndio unaileta usiku.

Source ni mimi mwenyewe, unachobisha ni nini, huamini au nini hasa.

Ni either you take it or leave it, i will take a full reaponsibility if it happens kwamba this is untrue information.

Any sound person like me hawezi kumzushia mtu kifo. I am 100% sure na nilichokiandika.
 
Source ni mimi mwenyewe, unachobisha ni nini, huamini au nini hasa.

Ni either you take it or leave it, i will take a full reaponsibility if it happens kwamba this is untrue information.

Any sound person like me hawezi kumzushia mtu kifo. I am 100% sure na nilichokiandika.

Mbona Habari umeiweka kiudaku udaku? Weka full details,mpaka sasa sioni mods wakiweka Confirmed naichukulia habari ya uzushi Kama Balali.
 
RIP, hakua chadema baada ya bunge kuvunjwa alisajiliwa na ccm
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom