Back the memory lane

Back the memory lane

Kwani uzee ni laana mpaka wanawake wauogope?
Mama zako ,dada zako,bibi zako,shangazi zako hao kuwa na heshima mfyuuuuuu,kuzeeeka sio ugonjwa
Bora mmejibu huyo 'NYANG'AU mie niliogopa kumjibu maana ningeandika vibaya. Nimemaliza BAN Jumatatu 14/1/2019 hivyo sikutaka tena kupotezwa humu JF kwa wiki hii. Shenzi sana huyo dogo
 
Bora mmejibu huyo 'NYANG'AU mie niliogopa kumjibu maana ningeandika vibaya. Nimemaliza BAN Jumatatu 14/1/2019 hivyo sikutaka tena kupotezwa humu JF kwa wiki hii. Shenzi sana huyo dogo


Jr
 
Bora mmejibu huyo 'NYANG'AU mie niliogopa kumjibu maana ningeandika vibaya. Nimemaliza BAN Jumatatu 14/1/2019 hivyo sikutaka tena kupotezwa humu JF kwa wiki hii. Shenzi sana huyo dogo
Ungeandika tu, ila ukweli ni kuwa kuna baadhi ya wanawake hajikubali kabisa kama umri umeenda na mitaani tunawaona, kibaya kipo wapi hapo
 
Kama anajifanya demu wako au dada zako ni huko huko sio kuleta kauli nyoko humu. Mmezoea sana kudhalilisha wanawake kila siku nyie tu na kauli za kifedhuli mfyuuuu zako
Duu Numbisa bado tu una hasira? Potezea bana

Jr
 
Back
Top Bottom