hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,083
- 72,768
Taa ya karabai acha kabisa naya husudu sana yaleJiko la stove... Linatumia mafuta ya taa lakini linawaka kama gas... Kuna taa ya karabai pia....
Jr![]()
Hahaa kwamba umri wao umefika JIONI !?Kuna wanawake wanavijua ila hawatakomenti wanaogopa kuonekana wazee![]()
hapa kalamu ya bic ilihusika sana, kurudisha au kupeleka mbele tape, wakati huo ingine ina play
KUMBE HAYA MA CRUISER YALIKUWEPO TOKA KITAMBO! NALIONA KWA NYUMA PALE
Mmeyatupa?Daah ... haya wakati nipo mdogo nilikuwa nayaona tu home ... lakini wakati huo yakiwa yameacha kutumika
Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanao yuko second year..??zikinunuliwa betri mpya ni full muziki mpaka zianze kukoroma ndio mnafungulia upande wa redio
Sent using Jamii Forums mobile app





Mtoto wako atakuwa third year..
Nimekumbuka mbali, kitu cha stove unapump hadi mafuta yapande juu ndio unawasha. Alafu moto ukipungua unapump tena. Daaaah kitambo sana.
Au zinaanikwa zipate nguvu tena.zikinunuliwa betri mpya ni full muziki mpaka zianze kukoroma ndio mnafungulia upande wa redio
Sent using Jamii Forums mobile app


Nimeikumbuka collection yangu ya Malebo jamani, ilinasa na nilivyokuwa naipenda!! Daaah nilihangaika nayo nikaikata then nikaiunga tena mpaka kitu kikakubali.


Haha tuwauluze watu wa physicsAu zinaanikwa zipate nguvu tena.
Hivi hii teknolojia ilikuwa sahihi kweli au imani tu!!![]()
yap ni sahihi, betri ikipata joto la kadri la jua huziamsha cell( electron) za betrii kavu na kuzifanya zilicharge upya japo sio kwa uwezo wa mwanzo.Au zinaanikwa zipate nguvu tena.
Hivi hii teknolojia ilikuwa sahihi kweli au imani tu!!![]()