Back the memory lane

Back the memory lane

.
FB_IMG_1538461263552.jpg
FB_IMG_1538461434003.jpg
FB_IMG_1538461103710.jpg
FB_IMG_1538461116716.jpg
FB_IMG_1538461128121.jpg
FB_IMG_1538461616950.jpg
tapatalk_1541515952007.jpg
tapatalk_1541516241668.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • FB_IMG_1538461434003.jpg
    FB_IMG_1538461434003.jpg
    19.5 KB · Views: 42
Huyu pia enzi hizo ili uonekane dereva mzoefu na maarufu ni lazima ujiite Shakeland .

Na hizo gari ndo zilikuwa zenyewe. Ukipaki 304 na hii hupati abiria .
Kiboko yake ilikuwa 504 au 604

Sent using Jamii Forums mobile app
304 ndiyo ya zamani sana ikaja 404, hiyo 504(gurue) zilikuja zikawa zinakamtwa eti hawataki magari ya mitumba(used),kipindi hicho Sokoine era na ndiyo zikaja 604.
Kulikuwa na Datsun 160J na 120Y yalionekana ya kishua sana plus Citroen ikizimwa inadidimia kimtindo.
Back in the days.
 
Back
Top Bottom