Bachelor of Veterinary Medicine ya SUA iko vipi?

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,523
12,620
Kwema wakuu.

Ebana ndugu yangu amechaguliwa kozi tajwa hapo juu chuo cha sokoine pale Morogoro, naona Kama hajaridhishwa hivi na hii kozi, lengo lake lilikua asome MD ila vyuo vyote vya medicine alivyoomba hawajamchagua sababu ya ushindani kuwa mkubwa sana mwaka huu. Matokeo yake ya kidato cha sita ni division 1.9 PCB.

Nilikua naomba kujulishwa kuhusu hii kozi ya veterinary medicine iko vipi pale sua na vipi soko lake la ajira nalo limekaa vipi?

Asante
 
Anakuwa daktari wa mifugo, ni competitive course nadhan akimaliza anaweza kupata shavu wizara ya kilimo au utalii akatibu wanyama pori, kozi nzuri
 
Hiyo kozi atafanya kazi popote pale duniani. Kwa sababu wanyama wapo Kila sehemu ya Dunia kama ilivyo binadamu.
 
Mna mdanganya mwenzenu kama daktari tu wa binadamu siku hizi wamejaa mtaani hawana kazi je huyo wa wanyama unadhani atakuwa na hali gani mwambie afuate moyo wake ila sio kusikiliza watu kwasababu ya urahisi wa ajira.
 
Kama unapenda nenda kasoma but notion ya kua ukimaliza utapata kazi instantly itoe kabisa nimesoma pale Sua 4years na nina marafiki wengi tu waliokua huko kwa hiyo course but now wanafanya mambo mengine tu.


Kiufupi soko la ajira ni gumu sanaa...
 
Kama unapenda nenda kasoma but notion ya kua ukimaliza utapata kazi instantly itoe kabisa nimesoma pale Sua 4years na nina marafiki wengi tu waliokua huko kwa hiyo course but now wanafanya mambo mengine tu.


Kiufupi soka la ajira ni gumu sanaa...
Ni kweli, mm pia nimesoma pale main campus, watu wa vet huku mtaani wanakula msoto kama kawaida.
Nadhan huyo kijana aangalie passion/ambition yake tu
 
Kama unapenda nenda kasoma but notion ya kua ukimaliza utapata kazi instantly itoe kabisa nimesoma pale Sua 4years na nina marafiki wengi tu waliokua huko kwa hiyo course but now wanafanya mambo mengine tu.


Kiufupi soko la ajira ni gumu sanaa...
Well noted
 
Nilichogundua sasa hivi ni ngumu sana kumshauri kijana aliyetoka form 6 kisha akataka kusoma MD ukamueleza kua kupata ngumu akakuelewa ili atafute kozi nyingine ya afya...wengi huja mambo yakishaharabika.
 
Nilichogundua sasa hivi ni ngumu sana kumshauri kijana aliyetoka form 6 kisha akataka kusoma MD ukamueleza kua kupata ngumu akakuelewa ili atafute kozi nyingine ya afya...wengi huja mambo yakishaharabika.
Kweli kabisa mkuu,mimi mwenyewe huyu ndugu yangu nimemshauri ila naona moyo wake bado haujafunguka.anataka MD tu.
 
Kwema wakuu.

Ebana ndugu yangu amechaguliwa kozi tajwa hapo juu chuo cha sokoine pale Morogoro, naona Kama hajaridhishwa hivi na hii kozi, lengo lake lilikua asome MD ila vyuo vyote vya medicine alivyoomba hawajamchagua sababu ya ushindani kuwa mkubwa sana mwaka huu. Matokeo yake ya kidato cha sita ni division 1.9 PCB.

Nilikua naomba kujulishwa kuhusu hii kozi ya veterinary medicine iko vipi pale sua na vipi soko lake la ajira nalo limekaa vipi?

Asante
MD anasoma mnyama mmoja (binadamu) wakati Vet anasoma kuanzia binadamu, mbwa, mbuzi mpaka punda mpaka ngamia bila kusahau kuku.

Hiyo ni kozi nzuri lakini aende akasome kama anaamini ana kichwa chepesi.
 
MD anasoma mnyama mmoja (binadamu) wakati Vet anasoma kuanzia binadamu, mbwa, mbuzi mpaka punda mpaka ngamia bila kusahau kuku.

Hiyo ni kozi nzuri lakini aende anaamini ana kichwa chepesi.
Sawa Sawa Aende Akasome
 
Back
Top Bottom