Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Babu wa Samunge amewaasa waliokunywa dawa na bado hawajapona basi warudi Samunge wanywe tena kikombe.Ameelezea kuwa yeye sio mganga wa kienyeji hivyo imani ni muhimu sana.
Source ;
EA-Radio (anahojiwa muda huu na Michael B & Zembwele -Bado mahojiano yanaendeleo)
Source ;
EA-Radio (anahojiwa muda huu na Michael B & Zembwele -Bado mahojiano yanaendeleo)