Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Dah mkuu...kipindi icho wewe ulikuwa na umri gani?Nilikuwa naishi nao yeye na mumewe ni wazee,walinichukulia kama mwanawao
Unajua wazungu hawana aibu alikuwa ananifundisha jinsi ya kuwa msafi,usafi unaanzia na nguo ya ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app