Babu Tale, Mbunge wa CCM na Meneja wa Diamond Platnumz asema hawezi kufua nguo za ndani

Penye wengi pana mengi, watu wa hivyo wako kila mahali.... hata upinzani wapo
Kiongozi anapaswa kutoa kauli zenye staha na kuchagua maneno ya kuongea mbele za watu, hapa namaanisha ccm haikufanya umakini katika kuteua wagombea wake, leadership haipo ndani ya huyu boya, anapayuka tu, hata mlevi hawezi payuka mbele za watu eti hajui kufua chupi
 
Kiongozi anapaswa kutoa kauli zenye staha na kuchagua maneno ya kuongea mbele za watu, hapa namaanisha ccm haikufanya umakini katika kuteua wagombea wake, leadership haipo ndani ya huyu boya, anapayuka tu, hata mlevi hawezi payuka mbele za watu eti hajui kufua chupi
Mjinga sikuwahi mdhania
Watoto wake na wajukuu watakuja sikiliza vile babu yao alikua hafui pichu
 
Back
Top Bottom