TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

La Princesa

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
1,040
1,136
Habari zilizotufikia punde ni kuwa mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Hamisi Tale au Babu Tale) aitwaye Shamsa Tale almaarufu kama Shammy Nails amefariki.

Pole kwa familia ya Babu Tale maana ameacha watoto wadogo.

1593326918094.png


9953C5BF-E0E0-4261-AE46-640080E7B12F.jpeg
 
Kila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.

But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?

NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?

Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?

Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!


Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.

MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen
 
Back
Top Bottom