Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Nakumbuka Baba yangu alinihadithia kuwa yeye alikuwa anashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake na kuna siku alishika nafasi ya pili akalia sana mitihani iliyofuata akawa wa kwanza tu ...
je Baba yako alikuwa wa ngapi maana shuleni niliwahi hadithia kuhusu mdingi wangu na wao wakasema baba zao pia walikuwa wa kwanza tu je mdingi wako na wewe alishika nafasi gani? au kuna wengine baba zao ndio walikuwa wa Mwisho Darasani?
je Baba yako alikuwa wa ngapi maana shuleni niliwahi hadithia kuhusu mdingi wangu na wao wakasema baba zao pia walikuwa wa kwanza tu je mdingi wako na wewe alishika nafasi gani? au kuna wengine baba zao ndio walikuwa wa Mwisho Darasani?