NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Elimu: >> source pdf page 90 <<
- Degree ya udaktari, MD- Doctor of Medicine- UDSM
- Masters ya udaktari, MMed - Masters of Medicine - UDSM
- Masters ya jeshini, MSS - Master in Security and Strategies - Chuo cha taifa cha ulinzi - NDC.
Kazi
Tarehe 20 Januari 2014, Rais mstaafu Jakaya Kikwete ambaye pia alikuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama alimpandisha cheo kutoka kanali kwenda kuwa Brigedia Jenerali >> source 2 <<
Kabla ya kustaafu, aliwahi kuhudumu kama mkuu wa Chuo cha Kijeshi cha Tiba - Lugalo.
Aliwahi kuwa mkufunzi / lecturer chuo cha IMTU idara ya internal medicine (taarifa ipo source 1 )
.....................................
Taarifa za kufariki kwake zimethibitishwa na mtoto wake David almaaruufu Young Dee aliepost msiba huo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa instagram, jana tarehe 27-12-2022 mida ya jioni.
Updates;
Brig General Robinson Mboli Mwanjela ameagwa leo, asubuhi saa tatu pale Lugalo, na saa saba baada ya misa katika kanisa la Wazo Hill KKKT.
Pale Lugalo zilitolewa heshima zote za kumuaga kijeshi, na procession ya kuutoa mwili mortuary ilikuwa very touching.
Kule Wazo Hill Majenerali wamemmwagia sifa za kazi yake kama Ofisa wa ngazi za juu aliyekuwa muadilifu katika utendaji wake kulitumikia jeshi la wananchi (JWTZ)