Baba yake Ben Saanane aiangukia serikali

We ni muhuni wa kawaida tu.

Hoja ulizoziandika hapo wala hazihusiani na kutoweka kwa Ben saanane.

Baba mzazi anamtafuta mwanawe halafu wewe unaleta porojo zako hapa?
 
We ni muhuni wa kawaida tu.

Hoja ulizoziandika hapo wala hazihusiani na kutoweka kwa Ben saanane.

Baba mzazi anamtafuta mwanawe halafu wewe unaleta porojo zako hapa?
halafu ben ni katika wale waliomtusi lowassa eeeh?maana red brigade mmetangaza kila aliemtukana lowassa,atatapata misukosuko kama sio kifo,tumeona kwa lema
 
halafu ben ni katika wale waliomtusi lowassa eeeh?maana red brigade mmetangaza kila aliemtukana lowassa,atatapata misukosuko kama sio kifo,tumeona kwa lema
Policcm ndio hao Redbrigade siku hizi?
 
Kwahiyo nyie na hizi siasa zenu za majitaka mnapigania kitu gani maana hamueleweki.


Only cowards fears death, real men fears nothing.

Kama akina mtemi mkwawa, mirambo, isike, sina, Bwana heri, kimweri, makunganya, Songea wasingeazisha harakati za ukombozi na kufa wakitetea uhuru wa nchi hii, leo tungekuwa wapi?
 
Maskini Ben! Kijana Wa miaka32 tu! Wamekupoteza!
 
Pole sana baba poleni familia maumivu mliyo nayo ni makubwa sana, tuombe Mungu Benn arejee akiwa hai.
 
Hii serikali kijana wake mwenyewe hakuwahi kuiamini..sasa imsaidie kwa lipi?? Labda kama anaiambia serikali ya mbowe na lowasa ambayo Ben mwenyewe alikuwa akiiamini.
 
Una uhakika gani kama nimchaga?au kwasababu baba yake aneongea akiwa moshi!!! Kama ni hivyo! Watu wote walio Dar ni wazaramo!!??nenda kaoshe akili yakho inejaa matope.
Unajua vizuri kusoma na kuandika? Niandikie jina la baba yake Ben ndiyo nitaamini.
 
Nyoosha maelezo,acha uoga.
 
Wewe jamaa hizi nyuzi zako zinakera kuliko wanawake wauza miili wanavyokereka zinapowadia siku zao.

Kama hujawahi kukutwa na tukio kama hilo nyamaza acha kuongea na mdomo wa chini unaopitisha (chakula taka)
 
Sasa unafananisha familia ya Mona ya sa8? Umekula maharage ya wapi wewe?
 
Wewe jamaa hizi nyuzi zako zinakera kuliko wanawake wauza miili wanavyokereka zinapowadia siku zao.

Kama hujawahi kukutwa na tukio kama hilo nyamaza acha kuongea na mdomo wa chini unaopitisha (chakula taka)


Unaonaje ukizipotezea tu kama wafanyavyo wengi tu humu!
 
Mbowe alisema wakiongea hao waliomteka watammaliza kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…