DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Ndoa ngumu jamani!!
Kuna mjamaa baada ya kuwa baba wa ubatizo, akawa anatumia sana hiyo kofia kwenda nyumbani alipo mtoto kwa nia ya kumsalimia. Kumbe Jamaa alikuwa anakula yule mama wa yule mtoto. Baba wa mtoto ni rafiki sana wa baba wa ubatizo. Huo mchezo wao wameendelea, na huyo mama alikuwa anatumia njia za uzazi wa mpango. Lakini bahati mbaya au kama ndio laana za Mungu huyo mama kashika mimba, na mumewe ameshajua kwamba mkewe ni mjamzito. Sasa baadae huyu mama akagundua kwamba ile mimba sio ya mumewe ni ya baba wa ubatizo. Alipomshirikisha baba wa ubatizo kwamba hiyo mimba itakuwa ni ya kwake, Jamaa sasa anahaha itakuaje!, Jamaa naye ni mme wa mtu, mume wa huyo mama (Jamaa ni Captain wa Jeshi) ameshajua kuwa mkewe ni mjamzito!, na ni marafiki na wanaheshimiana na jamaa. Mimba inaendelea kukua, Jamaa hajui atatoka vipi.
Huyu Jamaa sijui utamshauri vipi. Mi nadhani ajinyonge mapema.
Kuna mjamaa baada ya kuwa baba wa ubatizo, akawa anatumia sana hiyo kofia kwenda nyumbani alipo mtoto kwa nia ya kumsalimia. Kumbe Jamaa alikuwa anakula yule mama wa yule mtoto. Baba wa mtoto ni rafiki sana wa baba wa ubatizo. Huo mchezo wao wameendelea, na huyo mama alikuwa anatumia njia za uzazi wa mpango. Lakini bahati mbaya au kama ndio laana za Mungu huyo mama kashika mimba, na mumewe ameshajua kwamba mkewe ni mjamzito. Sasa baadae huyu mama akagundua kwamba ile mimba sio ya mumewe ni ya baba wa ubatizo. Alipomshirikisha baba wa ubatizo kwamba hiyo mimba itakuwa ni ya kwake, Jamaa sasa anahaha itakuaje!, Jamaa naye ni mme wa mtu, mume wa huyo mama (Jamaa ni Captain wa Jeshi) ameshajua kuwa mkewe ni mjamzito!, na ni marafiki na wanaheshimiana na jamaa. Mimba inaendelea kukua, Jamaa hajui atatoka vipi.
Huyu Jamaa sijui utamshauri vipi. Mi nadhani ajinyonge mapema.