Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Heaven on Earth ghafla kapachuti kako kadondokee hapo kati kati yao nafikiri utalia kikwenu
cc Tized, Mndengereko, Ntuzu na utafiti
huyo mnyama tumuone hivyo hivyo hafai kabisa ni hatari kweli ni king of the forest( huwa napenda sana kuangalia documentary za wanyama) huwa anaonea sana wanyama wenzake sasa usiombe ukutane na kombination ya simba na chui wanazz mnyama mmoja anaitwa liger huyio ndo hatari zaidi,ana ngvu,speed,meno makali na ni mkubwa kwa umbo ukimuona tu unaweza kuanza kulia....
hapa wakishiriki tendo la kumtafuta liger