grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Aiseeeee nimekubali...kweli mkuu inawezekana why not??
hapo anatoka kiumbe kimoja kinatwa liger hatari sana mkuu!!!!
Aiseeeee nimekubali...kweli mkuu inawezekana why not??
hapo anatoka kiumbe kimoja kinatwa liger hatari sana mkuu!!!!
Aiseeeee nimekubali...
Hapo lazima Preshaaa inapanda Preshaaaa inashukaaa...Hata wao wana JOHN KOMBA wao!Ila hajui kuimba tu
![]()
hiyo inaitwa lion pride unakutana na simba wakiume mmoja majike wawili au zaidi na watotombona ana watoto wengi hivo
Heaven on Earth ghafla kapachuti kako kadondokee hapo kati kati yao nafikiri utalia kikwenu
cc Tized, Mndengereko, Ntuzu na utafiti
Wakuu Mimi niliwahi kungia ktk anga za hao viumbe miaka ya 2003 nilopokua nawafanya biashara ya mbao ktk mapoli ya Tabora nilopokua nakusanya mbao kutoka kwa wachanaji kupeleka kambini! Ilikua mida ya Saa Moja Usiku nikiwa na baiskeli Pamoja na shoka km silaha! Ghafla nikaona macho mekundu km yanamulika mbele yng! Wakati huo Nilikua ktk eneo ambalo ni Mbuga hakuna ata miti mikubwa ya kupanda ili ujiokoe! Vilikuwepo vi miti vidogo vidogo tu!
Hebu malizia story bana ilikuwaje na nini kilitokea maana najua hapop ni majanga Mndengereko na utafiti na Tized hebu msikilizeni Ntuzu hapa
Wakuu Mimi niliwahi kungia ktk anga za hao viumbe miaka ya 2003 nilopokua nawafanya biashara ya mbao ktk mapoli ya Tabora nilopokua nakusanya mbao kutoka kwa wachanaji kupeleka kambini! Ilikua mida ya Saa Moja Usiku nikiwa na baiskeli Pamoja na shoka km silaha! Ghafla nikaona macho mekundu km yanamulika mbele yng! Wakati huo Nilikua ktk eneo ambalo ni Mbuga hakuna ata miti mikubwa ya kupanda ili ujiokoe! Vilikuwepo vi miti vidogo vidogo tu!
Hebu malizia story bana ilikuwaje na nini kilitokea maana najua hapop ni majanga Mndengereko na utafiti na Tized hebu msikilizeni Ntuzu hapa
Hebu malizia story bana ilikuwaje na nini kilitokea maana najua hapop ni majanga Mndengereko na utafiti na Tized hebu msikilizeni Ntuzu hapa
sasa huu muda wakati umeandika haya maelezo kwamba upo kibaruani kwa nini usingeandika walau kidogo nini kiliendelea?Nilijua tu mtakuja na hamu kutaka kujua kwa hamu kipi kilitokea! Ntakua nawapa kidogo kidogo mpk ntamaliza Maana niko kibaruani!
sasa ndo nini kutuweka hamu mkuu alafu humalizii stori,embu tuambie ulichoropoka vipi,tuntaka kujua labada na sisi tunaweza kutumia mbinu kama hiyo siku nyingine na sisi tukioatwa na janga kama hilo
utafiti, Mndengereko, Tized unamuona jamaa hapo juu anataka kututoa tuu stimu hapa eti yuko kibaruani anataka kutupa story kidogo kidogo kwani Ntuzu amekuwa G Sam
Hebu malizia story bana ilikuwaje na nini kilitokea maana najua hapop ni majanga Mndengereko na utafiti na Tized hebu msikilizeni Ntuzu hapa