Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Mpenzi wangu mimi ni mwezi wa tano mwaka huu Mungu atupe Mungu tuvuke salama maana mmmh changamoto sana mara kiuno, mara hawezi kukaa, kulala shida yaani kuna muda tunakesha anasema kiuno kinauma
Ukijikausha utaona anapunguza hivyo vimbwanga.. huwa wanatabia ya kutest mambo.. unakuta usingizi umemuisha anatakaa aanze kusumbua..
 
Mtoto wangu wa kwanza nilikuwa napenda sana delibolo mpaka siku naenda leba nikapata mrembo pisi kali kabisa. Hii sitaki hata kulisikia yaani hata kuwaza najisikia kichefuchefu hata kuguswa najisikia kinyaa wengi wanasema litakuwa jembe nasubiri kwa hamu nione. Mungu atusaidie
Hahah dah mi nateseka ila sometimes naforce hivyo hivyo make sina option nyingine
 
Dah jamani ila mama kijacho wangu analalamika ati kijacho anapiga mate tumboni muda wote, Mara anahisi kama maumivu kwenye mbavu...!!
Mtoto akisogea upande mmoja wa mbavu lazima uumie anajiweka mzima mzima. Pia akipiga teke chini ya kitovu karibia na kibofu unaweza tamani umtoe kwa muda. Ila ndio hakuna namna avumilie tuu.
 
Mtoto akisogea upande mmoja wa mbavu lazima uumie anajiweka mzima mzima. Pia akipiga teke chini ya kitovu karibia na kibofu unaweza tamani umtoe kwa muda. Ila ndio hakuna namna avumilie tuu.
Sawa... Withn 3 weeks Mambo yatakuwa good kwa uweza wake Mungu!.
 
Sema umechelewa Mwanangu ila sio kesi. Mimi tayari nna wajukuu, kifupi ni kwamba wakati nipo la saba nikampanda mtoto wa mtu, wakati nipo kidato cha kwanza nikampanda mwingine, nina watoto 7 mpaka sasa na nategemea kupata wa 8 mwezi wa 7..wa ndani ya ndoa ni wawili tu apo..Tuzaane wakuu maana tunapunguzwa kwa kasi..likija suala la matunzo acha tuu, unanunua suruali mbili kwa mwaka,
 
Back
Top Bottom