Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Baba vijacho na mama vijacho 2023 tukutane hapa

Mi nategemea kupata first born wangu mwezi April mungu asaidie ila sitosahau kile kipindi kuanzia mimba ina week hadi miezi 3 ilikua balaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Noma sana, mimi nilikuwa naambiwa nanuka hata kama nimetoka kuoga, kulala ikawa mzungu wa nne, mara nyingine hadi tunapishana kabisa
 
Wale ambao tunategemea kupata watoto mwaka huu tukutane hapa tujuzane mambo ya kuzingatia.Mimi ni mmojawapo ambae mwaka huu Mungu akijalia kwenye mwezi wa nane mwezi niliozaliwa mimi basi nitapata ka firstborn inshaalaah.

Mwezi wa 12 mwishoni nilimtafuta wa kucheza naye kitandani hatimaye matunda yametick week hiihii. Nilikuwa nafikiri pombe kali nilizowahi kunywa labda zingeathiri ubora wa mbegu zangu lakini kumbe sio kweli kwa vijana, of course nilipata sana mawazo ni kama sikuwa tayari ila nikakalishwa chini nikapangwa nitulie mtoto bado hata hajaanza kunywa uji nilishaanza mawazo je akizaliwa kabisa.kwanza nilitaka kuikataa maana me nilikuwa najua kwamba danger days ni siku 7 baada ya kumaliza period yake kumbe sivyo hata zile 7 za mwanzo before hajaanza kutoka damu ukitia mimba sekunde tu..ukiwa rijali upige kimoja au vitano jua bao la kwanza tu speed vitu vinaenda mimba inaundwa.

Sasa nilichoaswa na watu wazima ambacho ndo lengo la uzi;

1. Mimba changa mwanamke ananoga unalipata joto lake original hivyo kupindi hiki kizuri kwa ajili ya kutotolesha ukae na mama kijacho mpeane mapenzi japo ni kipindi cha mabadiliko kutapika kwingi utaamua wewe akae kwa ndugu zake wawe karibu akihitaji msaada au ukae nae wewe.

2. Ukifanya mapenzi na watu wengine huko hakikisha umeoga vizuri usifanye haraka kwenda kumlala mkeo ilihali kuna infections unaweza kumpa zikampa mtoto maradhi.

3. Tunza hela hiki ndo kipindi cha kuacha utoto sasa majukumu yanaanza tu za hela za matunzo ya ujauzito na mtoto akizaliwa.

Kama kuna la kuongozea niongezee.
2023.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema sio kwa kila mtu kwangu mimi ilikua tofauti ( i have a kid, She is 7month now[emoji3062]) yan sijawahi tapika, wala kuwa na dalili kama za watu wengine aiseeee[emoji18][emoji18]
Wangu alikuwa anatapika kila kitu kwa almost miezi miwili baada ya hapo ndiyo akatulia.
 
Wale ambao tunategemea kupata watoto mwaka huu tukutane hapa tujuzane mambo ya kuzingatia.Mimi ni mmojawapo ambae mwaka huu Mungu akijalia kwenye mwezi wa nane mwezi niliozaliwa mimi basi nitapata ka firstborn inshaalaah.

Mwezi wa 12 mwishoni nilimtafuta wa kucheza naye kitandani hatimaye matunda yametick week hiihii. Nilikuwa nafikiri pombe kali nilizowahi kunywa labda zingeathiri ubora wa mbegu zangu lakini kumbe sio kweli kwa vijana, of course nilipata sana mawazo ni kama sikuwa tayari ila nikakalishwa chini nikapangwa nitulie mtoto bado hata hajaanza kunywa uji nilishaanza mawazo je akizaliwa kabisa.kwanza nilitaka kuikataa maana me nilikuwa najua kwamba danger days ni siku 7 baada ya kumaliza period yake kumbe sivyo hata zile 7 za mwanzo before hajaanza kutoka damu ukitia mimba sekunde tu..ukiwa rijali upige kimoja au vitano jua bao la kwanza tu speed vitu vinaenda mimba inaundwa.

Sasa nilichoaswa na watu wazima ambacho ndo lengo la uzi;

1. Mimba changa mwanamke ananoga unalipata joto lake original hivyo kupindi hiki kizuri kwa ajili ya kutotolesha ukae na mama kijacho mpeane mapenzi japo ni kipindi cha mabadiliko kutapika kwingi utaamua wewe akae kwa ndugu zake wawe karibu akihitaji msaada au ukae nae wewe.

2. Ukifanya mapenzi na watu wengine huko hakikisha umeoga vizuri usifanye haraka kwenda kumlala mkeo ilihali kuna infections unaweza kumpa zikampa mtoto maradhi.

3. Tunza hela hiki ndo kipindi cha kuacha utoto sasa majukumu yanaanza tu za hela za matunzo ya ujauzito na mtoto akizaliwa.

Kama kuna la kuongozea niongezee.
Umeshamaliza mkuu sasa sisi tutakushauri nini tena. Kwa mwanaume hayo ndo makubwa unayotakiwa kuyajua. Mengine tuachieni tu wenyewe Mungu ndo anaejua.
Labda kama mkeo ana kisirani mvumilie.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Noma sana, mimi nilikuwa naambiwa nanuka hata kama nimetoka kuoga, kulala ikawa mzungu wa nne, mara nyingine hadi tunapishana kabisa
Aisee mimi sikupitia hii changamoto, nilipendwa kupita kiasi ikawa raha mustarehe ila changamoto mwanzoni kwenye kutapika tu.
 
Kwenye afya aanze na folic acid. Akomae nazo hasa hizi week 12 za mwanzo. Asiguse pombe, akifika second trimester anaweza kutumia zile Prenatals za pregnacare zinauzwa sana nakiete ni nzuri. Hizo atasonga nazo hadi mwisho.

Alafu mjitahidi hata kama hamjaanza clinic aende akachek ultrasound kuona mimba imekaaje. Hatuombei mabaya ila iwe ndani ya mfuko. Mengine Mungu awatangulie mmalize safari salama. It’s a beautiful journey kama baba ukishirikiana na mama mwanzo hadi mwisho wa mimba aisee huwa hatuwasahahu.

La ziada😁 Baba naniliii wangu Mungu akuzidishie kwa vyote mwanaume ulihangaika na mimba hadi basi🙌🏼 Mwanao akikua lazima nije nimuoneshe na video ulivyokua unahangaika na mwanae tangu akiwa tumboni.
 
Dah mi mbunye sipewi na nimejicommit kutomsalit hadi ajifungue
Mtoto wangu wa kwanza nilikuwa napenda sana delibolo mpaka siku naenda leba nikapata mrembo pisi kali kabisa. Hii sitaki hata kulisikia yaani hata kuwaza najisikia kichefuchefu hata kuguswa najisikia kinyaa wengi wanasema litakuwa jembe nasubiri kwa hamu nione. Mungu atusaidie
 
Back
Top Bottom