Sasa nimeelewa. Ukweli uko hivi......., Mke anakubarika sana upande wa Mumewe Ila Mume hakubariki upande wa mke wake.
Mke amekuwa akifanya Uovu ( Usaliti) kwa Mumewe na kukimbilia Ukweni , tena kwa kumshtaki jamaa kwa Ndugu zake kuwa anamsingizia au kumuonea.
Jamaa kila akiiambia familia yake juu ya matatizo ya mkewe hawamjali wanamuona kama yeye ndio anamakosa na ni mkorofi.
Hii pia, imefanya huyo mke wake kuweka ngome pande zote mbili; yaani hata kwa upande wa mwanamke kuwa jamaa ni mkorofi.
Lakini ukweli ni kwamba, Mwanamke huyo ndio chanzo cha matatizo yote hayo.
Kuna maovu ambayo amekuwa akiyafanya, ya unafki, kiburi, jeuri , dharau, uzinzi, Usaliti na kuwa na kauli mbaya kwa Mumewe.
Akumbuke kwamba, Mumewe hana tabia za Umalaya na kwamba toka awali amekuwa akimjali na kumtimizia mahitaji yake.
Aliwahi pia kumwambia, hapendi mitaala, na kwamba asipoachana na tabia zake basi atazaa nje ya ndoa.
Kiufupi, mwanamke ndiyo tatizo; haelewi maana ya mume, KITANDA cha NDOA, Familia hata maisha ya NDOA.
Anataka kila kitu aambiwe. Anapenda pia kukuza mambo pasipo hata na ULAZIMA. Sio mtiifu , Muelewa + Mnyenyekevu kwa Mumewe.
Mavazi yake machafu , tamaa za Mwili, kuintertain wanamme hovyo, kutoridhika, anaishi kwa kushobokea wanamme ili wamtongoze. Ana marafiki Malaya wasiojua hata maana ya ndoa zaidi ya kumshauri Uzinzi.
Pia mwanamke huyo anatabia za kuigiza, kumpenda Mungu kinafki