bonnykessy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 204
- 231
..hahaaa wanawake bwana full pasua vichwa! haswa wale wanaokaa tu majumbani bila kufanya kazi (mama wa nyumbani)..nimekumbuka mkasa mmoja wa namna hii hapa napoishi ulitokea mwaka jana
.."kuna jamaa mmoja yeye ni dreva noah na hiyo noah yeye ndiye mmiliki wake,huyo jamaa ni mstaarabu sana na alikuwa akiishi na binti mmoja na wamejaaliwa mtoto mmoja, ila hawajafunga ndoa na jamaa hajatoa hata mahari,hapa nilipo kuna manurse wawili sasa jamaa wa noah akiwa anarejea gheto jioni kutoks kwenye mihangaiki mara kwa mara huwa huwa anakutana na nurse mmoja kati ya hao wawili akirejea gheto basi jamaa wa noah kila akimkuta hivyo anampa lift kuja gheto kwani wanakaa sehemu moja!..maskini kumbe yule binti dreva noah huwa hafurahishwi na kile kitendo,akaanza kuzusha yule nurse anatembea na mumewe..zikawa kelele na miugomvi kila siku,binti akaenda kuomba ushauri kwa yule nurse wa pili,yule nurse akamshauri aende kwao kwa muda kama kumtisha jamaa..binti kweli kachukua mtoto wake kaenda kwao..jamaa kurudii usiku kuambiwa binti karudi kwao alichokifanya jamaa asubuhi yake alikusanya nguo na vitu vyake vyote akampelekea kwao..hili tukio lilitokea mwezi wa saba mwaka jana mpaka leo jamaa hajamrudisha na kamwe anasema hatimfuatilia sababu hakumfukuza!!..yule binti huwa nakutana nae mara kwa mara na anajutia kweli anatamani kujirudisha ila hana pa kuanzua..wanawake acheni kushikiwa akili,yakuambia yapembueni..msiwe kama mbayuwayu!!
.."kuna jamaa mmoja yeye ni dreva noah na hiyo noah yeye ndiye mmiliki wake,huyo jamaa ni mstaarabu sana na alikuwa akiishi na binti mmoja na wamejaaliwa mtoto mmoja, ila hawajafunga ndoa na jamaa hajatoa hata mahari,hapa nilipo kuna manurse wawili sasa jamaa wa noah akiwa anarejea gheto jioni kutoks kwenye mihangaiki mara kwa mara huwa huwa anakutana na nurse mmoja kati ya hao wawili akirejea gheto basi jamaa wa noah kila akimkuta hivyo anampa lift kuja gheto kwani wanakaa sehemu moja!..maskini kumbe yule binti dreva noah huwa hafurahishwi na kile kitendo,akaanza kuzusha yule nurse anatembea na mumewe..zikawa kelele na miugomvi kila siku,binti akaenda kuomba ushauri kwa yule nurse wa pili,yule nurse akamshauri aende kwao kwa muda kama kumtisha jamaa..binti kweli kachukua mtoto wake kaenda kwao..jamaa kurudii usiku kuambiwa binti karudi kwao alichokifanya jamaa asubuhi yake alikusanya nguo na vitu vyake vyote akampelekea kwao..hili tukio lilitokea mwezi wa saba mwaka jana mpaka leo jamaa hajamrudisha na kamwe anasema hatimfuatilia sababu hakumfukuza!!..yule binti huwa nakutana nae mara kwa mara na anajutia kweli anatamani kujirudisha ila hana pa kuanzua..wanawake acheni kushikiwa akili,yakuambia yapembueni..msiwe kama mbayuwayu!!