Baba mkwe huyo!

Baba mkwe huyo!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Wewe ni askari polisi.Siku moja mkiwa kazini na wenzio wanne,mnalikurupua jambazi,mnakimbizana nalo,linaishiwa nguvu na kuzama katika kijumba kisicho ishi mtu.Wewe ndo una pingu,wenzio wanapiga doria nje,unalizamia ndani ili ulitoe lakini unagundua jambazi mwenyewe ni baba mkwe wako!Je utachukua uamuzi gani?
 
Baba mkwe wangu sio mwizi na keshasafiri kwenda kwa baba yake, Nitolee umbeya wako
 
Napanga nae dili, then natoka nje nikiwa naked huku nikilia na kuwaambia jamaa zangu "jini..jini." najua lazima waunge tela
 
Aaah wapi me namtosa tu, kama noma na iwe nom.
 
Napanga nae dili, then natoka nje nikiwa naked huku nikilia na kuwaambia jamaa zangu "jini..jini." najua lazima waunge tela

Shukuru una akili za ziada. safi kabisa kama kuhojiana mkakae kifamilia zaidi baadae.
 
Back
Top Bottom