uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,703
- 37,930
Kwahiyo ukitoa mahari ndio hutadharauliwa ?
Hana akili huyo. Achana naye.
Kwahiyo ukitoa mahari ndio hutadharauliwa ?
Yaani hapo namaanisha akikutana na changamoto ya milioni 50, ujiandae kutoa.Vipi mkuu wewe huwez kumtunza baba mkwe wako?
Ndoa sio kwichi kwichi tu, ukiona wengine wanatelekeza ndoa ujue kuna mengiHayo mawazo yako lakini si hali halisi
Na kwanini amnyanyase?Kitendo cha kutoa kulipa mahari mwnamke atakuja kukudharau sna siku atasema unaninyanyaza wkt hujalipa mahari
Embu kalipe mahari
Basi sawa usilipe tu mahari bwa shehe.Hayo mawazo yako lakini si hali halisi
Vyovyote watakavyo tafsiri waache watafsiri lkn mimi msimamo wangu ni huo sitopokea mahari. Kwanini nimuuze binti yangu wakati najua sio property? Ndoa ni muungano wa watu wanaokwenda kuanzisha familia na kushea huzuni na furaha, sasa iweje mmoja alipie?Hii inatafsiri tofauti kwetu, kama hujutoa mahari kwa mkeo basi usipoke pia.Kama umetoa pia yakupasa kupokea.Alafu bint anakoolewa wakisikia baba yake amemtoa bure ujue watamuweka tabaka jingine kulingana na tafsiri yake.