Baba mkwe amekataa mahari yangu

Hii story imeanza kwa kutumia wakati uliopo na ghafla ikahitimishwa kwa wakati uliopita! Kikubwa umeoa bila mahari, ashukuriwe MUNGU
Ndoa ya kanisani ilifungwa kabla ya mahari haha
 
Duh si kweli
Wazazi wanajua vyema sana watoto wao ..

Kwenye familia Kuna watoto ambao hawako vizuri hata dishi limeyumba ila ukimuona kwa nje yupo sawa..

Wengine ni wachawi na majini hivyo mzazi anajua huo mzigo acha uende...

Sikutishi...
 
(Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.)

Hayo maneno kwa mabano na bado ananiambia sijaelewa

Thanks Quote
Imekaa kama Hadithi ya kusadikika, yaani haamini kama cheti ni OG, kwamba amebambikiwa cheti! Only in Tz
 
Wazazi wanajua vyema sana watoto wao ..

Kwenye familia Kuna watoto ambao hawako vizuri hata dishi limeyumba ila ukimuona kwa nje yupo sawa..

Wengine ni wachawi na majini hivyo mzazi anajua huo mzigo acha uende...

Sikutishi...


Hizo sio sababu za b mkwe kuniambia nisitoe mahari. ila una kila sababu za kutoa maoni yako kutokana na experience yako, hilo cwez kubishia.

Mke wangu ni ndoto ya kila mwanaume mpambanaji.

Najua cwz kuelezea ukaelewa kwanini.
 
Hizo sio sababu za b mkwe kuniambia nisitoe mahari. ila una kila sababu za kutoa maoni yako kutokana na experience yako, hilo cwez kubishia.

Mke wangu ni ndoto ya kila mwanaume mpambanaji.

Najua cwz kuelezea ukaelewa kwanini.
Oooh! Mwanamke "mpambanaji"...
 
Imekaa kama Hadithi ya kusadikika, yaani haamini kama cheti ni OG, kwamba amebambikiwa cheti! Only in Tz

Mkuu cwz kuelezea proccess zote hapa. niandika kwa kuchukua matukio.

Cheki cha ndoa ukipewa unapeleka serikali kukiweka kwenye system.

Nitakuja kukupa update baadae kuhusu chet baada ya kutolea kuna process zinahtaji kufanyika ili serikali itambue ndoa yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom