and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,116
Unaumia?Was salaam.
Ni hivi upande wa baba wapo mseto lkn %95 ni wakristo, %5 ndiyo siye,
Baba mdogo kaja nyumbani kutusalimia na ana wiki sasa,
Shida ba mdogo anapenda kula kitimoto balaa,
Yaani chai yake ni kitimoto na pepsi,
Shida anakuja nacho ndani, kama leo kamtuma boda amletee na muda boda kaja ba mdogo anaoga na akaniambia nikampokelee
Na kumuambia asilete ndani nitaanzaje??
Hawezi kuona tunamnyanyapaa??
Au hatumtaki??
Je anafanya kusudi?? maana anaelewa kuwa hatutumii,
Naombeni ushauri nitumie njia gani kumfikishia kuwa hatupendezewi na hii tabia?
NB. Mama hajui maana si mtu wa nyumbani.
We unapoelekea wewe hahaaa....Loooh hiyo nyama ni tamu??
Huyo auntHii issue ya kitimoto naona kama mnaibeba tofauti au kimakosa. Kwa nielewavyo Mimi, japo waislam kitimoto ni Haram kwenu, lakin under certain circumstances mnaweza kula. If that's the case, sio kama yakufaa ujisikie vibaya baba ako mdogo kukwambia umpokelee (as long as inakuwa imefungwa vizuri, na hajakwambia ule).
Lakini pia nishawahi kumuuliza Sheikh mmoja kuhusu waislam kula kwenye mahotel ya Kitalii au yanayotoa huduma ya kitimoto, akaniambia vyombo vikishatumika huwa vinaoshwa, so sio tatizo wao kupata huduma sehemu. If that's the case, sioni ajabu baba yako mdogo kutumia vyombo vyenu maana huwa vinaoshwa.
Nina uncle alioa mwanamke wa Kiislam, kila mmoja aliendelea kubaki na dini yake. Yule Aunt alikuwa hatumii kitimoto, ila mara kadhaa nishawahi kushuhudia akimuandalia uncle.
Sijajua kama nitakuwa wrong or what, ila huwa nahisi kuna baadhi ya mapokeo kwenye hizi dini zetu hatujayaelewa.
Technically umeshakula kitimoto kitambo hivyo ni Bora kuendelea kumuunga mkono Ba'mdogo akileta kitimoto.Huyo aunt
Kama nilivyosema %95 ni kristo, kwao tunaendaga na vyombo tunashare
Wenzako wanasafisha kikombe nje na wanakitumia usijifananishe na wewe ulieamriwa kusafisha kikombe ndani kwanza na usafishe na nje ndipo utumie ukiona tofauti hapo hutapata shida kwa hao wadau wa upande wa pili.Mkubwa hakosei we ni vitu haramu vingap unatumia mpak uanze kumkosa baba yako mdogo, kope za bandia mawingi yabandia, rangi za kujiremba zote haramu,bado unazini ujaolewa haramu, yani uwezi mkosoa mwache afaudu nyama pendwa
Sasa binti yangu ndiyo umeamua kuja kunishtaki huku kweli! Si ungeniambia tu ana kwa ana! Kwa hali hii nikiondoka hapa kwenu, sitarudi tena.Yupo kwa muda.
Unisamehe tuSasa binti yangu ndiyo umeamua kuja kunishtaki huku kweli! Si ungeniambia tu ana kwa ana! Kwa hali hii nikiondoka hapa kwenu, sitarudi tena.
Bora nikija kwenye mishe zangu nipange tu guest.
Ila ya wanao pakua mitaro ya wake zao sunna imebarikiwa au sio.nyumba inayo liwa kitimoto haina baraka imelaaniwa.
Mmmmmmmhharamu
Haha!! mawardat bhanaNajua hautumii