Mtia nia nafasi ya Ubenge Kigoma Mjini kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando almaarufu kama Baba Levo amesema wananchi wa Kigoma Mjini wanajisikia raha sana linapotajwa jina la Rais Samia kwani kuna vitu vingi amewafanyia wananchi hao na kusema kuwa yupo tayari kumsemea kwa mambo aliyoyafanya, endapo watampa nafasi ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo la Kigoma Mjini
Soma Pia:
Chanzo: Wasafi Tv
Soma Pia:
- GE2025 - Baba Levo achukua fomu jimbo la Kigoma mjini kupitia CCM
- Pre GE2025 - Baba Levo apokelewa Kigoma, asema hatutapiga kura kwa Rais Samia, bali tutarundika kura 2025
- GE2025 - Baba Levo: Simtaki Nondo, Namtaka Zitto
Chanzo: Wasafi Tv