Baba Levo: Natamani nife wa kwanza kabla ya Diamond, akitaka lolote ntamfanyia. Wadau wamfananisha Baba Levo na Gigy Money

Nilikua namkubal Sana zaman Siku hiz sijui kawaje, imagine kuwa na Baba kama Baba levo, mxieew, kuna umri mwingine kuwa chawa hata haipendezi, Sijui hana ndugu wa kumshauri , yani umaskin mbaya sana , tusomeshe tu watoto wetu
Mie ule mwili wake na mambo anayofanya nabaki hoi kwa kweli.
 
Kama wale Covid 19 wanavyomsifia Kamanda wa Anga hadi leo
Mwisho wenu ni india kupandisha cd4 mana marukanga ccm ndio yanawaua,msalimie jobu
Screenshot_20210122-224624_Twitter.jpeg
 
Nilikua namkubal Sana zaman Siku hiz sijui kawaje, imagine kuwa na Baba kama Baba levo, mxieew, kuna umri mwingine kuwa chawa hata haipendezi, Sijui hana ndugu wa kumshauri , yani umaskin mbaya sana , tusomeshe tu watoto wetu
hahahaha
 
Back
Top Bottom