Basi itakuwa ameanza siku nyingiKuna kipindi alisema Asa mimi wanataka nimchukie Mondi wakati hata nikiwafuata wanipe Dolla 100 hawawezi
Wakati Mondi nikienda kumlilia shida hata ya Dolla 300 ananipa
Tena wengi tumebaki bara lakini huko Dar midume mingi inagawa "chochote" kwa wanaume wenzao ili kujipatia vijisentiWanaume wamebaki wachache mno
Mie ule mwili wake na mambo anayofanya nabaki hoi kwa kweli.Nilikua namkubal Sana zaman Siku hiz sijui kawaje, imagine kuwa na Baba kama Baba levo, mxieew, kuna umri mwingine kuwa chawa hata haipendezi, Sijui hana ndugu wa kumshauri , yani umaskin mbaya sana , tusomeshe tu watoto wetu
Baba Levo kashapora nafasi ya Juma Lokole na Aristote.
Ni mwendo wa kugawa
Yaan hapo tyuuh mie nachoka kabisaaa.Mwili wake hauendani na matendo wala akili yake.
Ashikwe mara ngapi sasa?Hili hata likishikwashikwa matako na Diamond litacheka cheka tu
chezea pesa weyeeeeh.Tafuteni pesa hadi wanaume wenzio wakusifie kila saa
Hata CELTEL itatolewa tyuuh hakna namna,Kwamba amesema yuko tayari kumpa "chochote" kweli?
Huyo anaelekea kutafunwa kabisa maana unapomwambia mwanaume mwenzio kuwa uko tayari kumpa "chochote" atakachohitaji sasa ikitokea mtu kakuomba "MOBITEL" utamlaumu?
Mwisho wenu ni india kupandisha cd4 mana marukanga ccm ndio yanawaua,msalimie jobuKama wale Covid 19 wanavyomsifia Kamanda wa Anga hadi leo
Utasikia waziri anasema tumshukuru Magu kwa mvua kunyesha
Baba Levo kashapora nafasi ya Juma Lokole na Aristote.
Ni mwendo wa kugawa 🍑🍑🍑🍑🍑
Hili hata likishikwashikwa matako na Diamond litacheka cheka tu
Ameshaanza kupaka kalikiti na kujilamba midomoAkitaka mkia atampa?
hahahahaNilikua namkubal Sana zaman Siku hiz sijui kawaje, imagine kuwa na Baba kama Baba levo, mxieew, kuna umri mwingine kuwa chawa hata haipendezi, Sijui hana ndugu wa kumshauri , yani umaskin mbaya sana , tusomeshe tu watoto wetu
Diwan Mstaaf wa ACT haha
Maisha hayako fair yaan, halafu sasa watoto wanasoma huko shule ya St flan, huku wakijua baba ni chawa inaleta picha gan kwao?Chawa anaesomesha watoto Shule kali kama tusiime wakati kuna watu wapo maofisini ni degree zao miaka kibao lakini buuureeee