hata mimi bwana japo sina hiyo familia kwani kumvalisha nepi siwez? naweza sana
God rest his soul girl.
And I aint stopping soon.
How old are you?
God rest his soul dearest.Hata me sina picha ila my Dad alikuwa ananipeleka saloon anawaambia wanisuke style "utii wa roda" kwa ajili ya shule. I was 8yrs old na mama alikuwa shule.tukitoka hapo kwenda kula koni.. RIP Dad... I really miss him
wapo wanaoweza, ila huyo baba hapo ni alibaki mwenykama vile ewe hapo nyumbani.
mie nilimshuhudia mbaba mmoja tangu tumeitembelea ile familia alikuwa amebeba mtoto, mtoto alivyojisaidia alimsafisha na kumbadilisha mavazi. wife wake alikuwepo na trip za jikoni na sebuleni. mambo kusaidiana. Caroline Danzi waikumbuka ile?
Basi na matumizi ya kuhudumia familia (kodi ya meza, ada za watoto, bills za umeme, maji etc) yawe sawa kama mnataka huo usawa. Hao wadhungu wanachangia kila kitu pasu kwa pasu, sisi tunawalea sana eti
kwa taarifa yako wanawake wa sasa hivi ndo tunawalea nyie kwani nafasi yenu mmeishinda kuitumia hivyo hakutakuwa na pasi tena ndo sisi tumeamua kuingia dimbani kwani tunaoona nyie mmekuwa wavivu sana
hili tusi la waziwazi
sorry bestito nilikuwa namuweka sawa huyo mwenzio
Hao ni wale waafrika wanaokuwaga mahouseboy wa wawake wa kizungu kazi yao ni kubaki nyumbani kulea na kuhudumia watoto. Wanaingiaga kwenye ndoa na wanawake wa kizungu ili wapate uraia ughaibuni. At old age wanarudigi Afrika mikono mitupu, watoto wanabaki ng'ambo na mama yao. Uwongo Nyani Ngabu? tehe tehe tehe natania tu japo kuna kaukweli.
Limbwata hilo
Mwanamke nywele kiwatengu usimnyoe bhana weee mwache tu asuke zikue vizuri asije kupata hasara ya kununua minywele ya maiti...
Mleete kwa aunt wake ntamsuka🙂🙂🙂🙂🙂🙂
bado ana umri mdogo kusuka ni kumuumiza kichwa chake tu..
Nampenda sana mwanangu sitaki apate shida kabisa...
Mtoto wa kiafrika miaka 3 au 4 tangu lini akawa na nywele ndefu kiasi hicho?mambo ya kithungu hayo hayatuhusu...
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums