Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,402
- 138,668
wapo wanaoweza, ila huyo baba hapo ni kama vile alibaki mwenyewe hapo nyumbani.
Yeah ni kweli. Mkewe alikuwa anawahi kazini na yeye akasema atazitengeneza nywele za binti yake.
Kama DMX hivi, huku akifanya hivi watasema mke karoga.
Inaelekea "anawajibika" sana kwa mambo yote! Mtoto mkubwa miaka 2, mdogo wake miezi 6! Mama alishika mimba wakati mtoto huyo mkubwa akiwa na miezi 9?
Wababa wa Kitanzania mnayaweza kweli haya? Wangapi kati yenu mshawahi hata kuzibana nywele za mabinti zenu?
Hii habari nimeitoa Yahoo. Hii picha ilienda viral baada ya jamaa kuiweka kwenye mtandao. Kwa habari zaidi ingia hapa
![]()
Mkuu N'N; Mmmh kimila hiyo kwetu bado na ngumu....! Lakini majuu ushirikiano wa kulea upo 10x10...!Wababa wa Kitanzania mnayaweza kweli haya? Wangapi kati yenu mshawahi hata kuzibana nywele za mabinti zenu?
Hii habari nimeitoa Yahoo. Hii picha ilienda viral baada ya jamaa kuiweka kwenye mtandao. Kwa habari zaidi ingia hapa
![]()
Limbwata hilo
namna hiyo hivyo ndo tunavyotaka lazima tuutokomeze mfumo dume
Limbwata hilo
nimekubamba!!! Waswahili utawajua!!