Baba akiwajibika.

Baba akiwajibika.

Mimi mbona huwa namwogesha binti yangu?
nywele huwa namnyoa tu.

CC: shansarie

Mwanamke nywele kiwatengu usimnyoe bhana weee mwache tu asuke zikue vizuri asije kupata hasara ya kununua minywele ya maiti...
Mleete kwa aunt wake ntamsuka🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Last edited by a moderator:
huyo kapgwa kipapai na mke wake, si bure. Kama sivyo basi mke wake anamuweza (anamdunda). Haiwezekan, haiwezekan, haiwezekaniiiii #pamejiandka hapa#

Hakuna cha kipapai wala kinanasi.....wamependana wenyewe wanasaidiana majukumu.....wanaume wa kiafrika mnashida nyie aaaagh
 
Hakuna lolote chances are hiyo nyumba mwanmke ndio breadwinner
 
All men are fathers but not all fathers are Dads. My Dad oiled my hair. Nina picha akinisaidia kufumua nywele nilikuwa nimesuka.
 
Aisee huyo kaka yupo humu JF? Mimi iko penda yeye sana. NN niunganishe nae ana mbegu nzuri.
 
Safi wanaume tunapaswa kuwa ivo wanawake ni wasaidizi wetu so tusiwaelemee sana tuwasaidie nikioa mke wangu atafaidi sana
 
Naogesha napika na naandaa watoto kisha tunataka kwenye shule....
 
All men are fathers but not all fathers are Dads. My Dad oiled my hair. Nina picha akinisaidia kufumua nywele nilikuwa nimesuka.
Mi sina picha lakini Baba yangu/yetu alituangalia mwenyewe kwa zaidi ya mwezi mama aliposafiri na tulikuwa wadogo kweli
Hapana chezea Baba shuti kutupeleka kula out kila siku na Drive In Cinema za kutosha......tulikuwa tunajitawala na kufanya fujo kwa kiwango chakutisha
RIP Dominic
 
Kweli binadamu wanatofautiana bwa shemeji yangu mmoja nlienda kwao nikakuta Mtoto anaumwa tumbo la kuhara amelala chini nnya imetapakaa afu babamtu kuniona akatimua huku akimruka mwanae kama mzoga vile! RIP shemeji ila ulikuwa na roho mmbayaa!
 
Mi sina picha lakini Baba yangu/yetu alituangalia mwenyewe kwa zaidi ya mwezi mama aliposafiri na tulikuwa wadogo kweli
Hapana chezea Baba shuti kutupeleka kula out kila siku na Drive In Cinema za kutosha......tulikuwa tunajitawala na kufanya fujo kwa kiwango chakutisha
RIP Dominic

God rest his soul girl.
 
Huyo mwnaume atakuwa hafai na atakuwa hana daytime kwa mkewe ndo maana anafanya yote hayo ila nampa pole sana.


Kasome habari nzima kwenye link, jamaa yupo paternity leave, na akamwambia mkewe aende yeye atamuandaa binti yake kabla ya kwenda kazini. Alijirekodi ili aje amuoneshe mkewe kuwa alifanya vizuri maana mkewe alihisi hataifanya sawa.

Ni ndoto yangu kuwa hata katika jamii yetu haya yatakuja kuwa ni mambo ya kawaida katika familia, bila watu kusema ni limbwata..
 
Ishu sio kuwa mkewe hayupo ndo imebd afanye
Swali ni je wababa wa kitanzania mnawezaa?
Kwa upande wangu nahic wapo.baba yangu ni mmja kat yao...in any case i blv wapo lkn huwez kuwatambua na huwa hawajionyesh wala kusema kuwa wanaweza fanya such a thing
 
All men are fathers but not all fathers are Dads. My Dad oiled my hair. Nina picha akinisaidia kufumua nywele nilikuwa nimesuka.

Do you still play with your daddy?
 
Back
Top Bottom