Baba akiwajibika.

Baba akiwajibika.

When a man do some domestic staff at home it is sexy and his woman feels good but when a man become a wife arrghh it is not hot at all
 
Hukawii kuambiwa kuwa mkeo kakulisha shuntama
 
Mi nimependa alivyombebaa tu mtoto kwi kwiiii
 
mkuu Nyani Ngabu, mbona hii sura kwenye hii picha ni kama wewe? angalia kaka hii wakiiona home (gukaya) watajua tayari mwana wetu ameshawekwa kwenye chupa!
Wababa wa Kitanzania mnayaweza kweli haya? Wangapi kati yenu mshawahi hata kuzibana nywele za mabinti zenu?

Hii habari nimeitoa Yahoo. Hii picha ilienda viral baada ya jamaa kuiweka kwenye mtandao. Kwa habari zaidi ingia hapa

62812fad-77e9-4077-b243-0212df600877_newphoto.jpg
 
Last edited by a moderator:
kwa taarifa yako wanawake wa sasa hivi ndo tunawalea nyie kwani nafasi yenu mmeishinda kuitumia hivyo hakutakuwa na pasi tena ndo sisi tumeamua kuingia dimbani kwani tunaoona nyie mmekuwa wavivu sana

Haya bana, ila mimi simo hapo kwa red
 
Back
Top Bottom