Siyo tu kutukimbiza na pia kutuvuruga kabisa akili zetu,kuna msemo unasema usidai haki kama utimizi wajib sasa wakaka wa siku hizi ndo zao malalamishi kibao kama mnaona vipo waishi tu wenyewe ili kupunguza keleleDuh mna agenda ya kuwakimbiza wanawake jf mbona kila siku wao tu? Wakuu mtaua watu kwa presha aisee
Mkuu hatuwakimbizi ninaongea ukweli wanaboa sana kujishebedua tuuu wakati hana kitu umependwa kataa au kubali siyo maneno meeengi unaamini ipo ukiingia mzigoni inazama yote na inadai na P.... walaaa hajigusi hapo njema inaanza kupoteza stim kwa kumwazia jinsi alivyo kuwa akijishebedua mzigo unalala akitoka hapo sasa oooh wanaume wa siku hizi chips na yai vinawamaliza kitandani wanaboa kweli.Duh mna agenda ya kuwakimbiza wanawake jf mbona kila siku wao tu? Wakuu mtaua watu kwa presha aisee
Kukaa wenyewe siyo Suluhisho kama uliharibu ndiyo hivyo hiyo dhambi itakuandama kisogoni mpaka siku ya mwisho no way maji yamasha mwagika kwa wale waliojitunza saa hii wanasoma hizi comment wakiwa wanachokonoa meno huku akiwa amefunga jicho moja na kumwambia mume/mchumba wake hubby/mpenzi hebu soma hii yaani jamii forum bana anampa asome ila wewe akikuuliza unasoma nini mbona umechukia mpenzi utamwambia honey yaani watu wanaweka picha za ajabu mtandaoni sijui wakoje.Unazidi kumdanganya tena hiyo ndiyo tofauti kwa hii post.Siyo tu kutukimbiza na pia kutuvuruga kabisa akili zetu,kuna msemo unasema usidai haki kama utimizi wajib sasa wakaka wa siku hizi ndo zao malalamishi kibao kama mnaona vipo waishi tu wenyewe ili kupunguza kelele
Unayo kwelii eeeeehHahahaa kumbe unanifahamu basi sawaaa
Ha ha ha ha mkuuKukaa wenyewe siyo Suluhisho kama uliharibu ndiyo hivyo hiyo dhambi itakuandama kisogoni mpaka siku ya mwisho no way maji yamasha mwagika kwa wale waliojitunza saa hii wanasoma hizi comment wakiwa wanachokonoa meno huku akiwa amefunga jicho moja na kumwambia mume/mchumba wake hubby/mpenzi hebu soma hii yaani jamii forum bana anampa asome ila wewe akikuuliza unasoma nini mbona umechukia mpenzi utamwambia honey yaani watu wanaweka picha za ajabu mtandaoni sijui wakoje.Unazidi kumdanganya tena hiyo ndiyo tofauti kwa hii post.
Hahaha brother ukililia saana utapewa the chinese version of it
Chunga sana ni matapeli sana wengi wao!
Loool kwaiyo nyie ndo hamstahili kujitunza aaah,,yan unajua kuna vtu vingine vikiongelewa mtu inabidi ushangae sasa kupata shida na mapovu mengi kutoka ni uwende utafute hao wenye bikra maana hao ndo waliojitunzaKukaa wenyewe siyo Suluhisho kama uliharibu ndiyo hivyo hiyo dhambi itakuandama kisogoni mpaka siku ya mwisho no way maji yamasha mwagika kwa wale waliojitunza saa hii wanasoma hizi comment wakiwa wanachokonoa meno huku akiwa amefunga jicho moja na kumwambia mume/mchumba wake hubby/mpenzi hebu soma hii yaani jamii forum bana anampa asome ila wewe akikuuliza unasoma nini mbona umechukia mpenzi utamwambia honey yaani watu wanaweka picha za ajabu mtandaoni sijui wakoje.Unazidi kumdanganya tena hiyo ndiyo tofauti kwa hii post.
Ni wajinga maana wanafikiria apo tu hawaoni mbali kabsa ndiyo maana wanaume wengi saivi hata malezi ya familia zao ni zero kulia lia tu.Wanaume kama mabinti.
Kutwa kucha kulialia.
Unataka kumpangia mtu maisha yake?
Kukosa bikra ndiyo nongwa?
Kama imemtoka kwa kupanda farasi au kubakwa?
Mtoa mada ana lake jambo, wadada nyie ni viumbe muhimu sana kwetu, bila ninyi mambo hayaendi na dunia haikaliki, ndo maana tuwaonapo tunawatumbulia macho.Again malalamiko kuhusu wanawake...duh hivi hua wanawake hatuna mambo mazuri mtusifie japo siku moja moja?...vibaya hivyo wajameni..
Mmmmmmhhhhh.....Hicho kitu kinachoitwa bikra mbona na kamshipa kadogo dhaifu kasiko na maana yoyote? In fact mwanamke akizidi miaka 20 bado ana hako kamshipa kanakoitwa bikra huwa namuona ni mgonjwa mchoyo mbinafsi au labda anatumia kule kwa shetani