Baadhi ya wanawake na bikra

Baadhi ya wanawake na bikra

Maumivu ya bikra yalivyo,
Hlf mtu atengeneze tena ya kichina mmmh namuona ana Moyo sana,
Kwa kipi, kwa lipi, ili iweje.
Haaa unashangaa the chinese version???
Hiyo ni purposely for utapeli kutakua na milio ya hapa na pale kumbe wizi mtupu!
Yaani hii nchi na kizazi hiki kipya kina shida sana!
Maana mara mgagani mara sijui nini aaaaah yaan wizi mtupu.
 
Haaa unashangaa the chinese version???
Hiyo ni purposely for utapeli kutakua na milio ya hapa na pale kumbe wizi mtupu!
Yaani hii nchi na kizazi hiki kipya kina shida sana!
Maana mara mgagani mara sijui nini aaaaah yaan wizi mtupu.

Kwa hiyo milio ya hapa na pale ndio wizi?
Hata kama anasikia raha ajikaze tu na kua bubu!
Mgagani ulikua unatumika tangu enzi za mabibi na hata mababu walikua wakienda kuwachumia wake zao,

Sema kizazi cha sasa Wanaume kama Mabinti ni wengi,
Yani wanaume ni wajuaji, wambea, wapashukuna, vihede mswede, washambenga na mbaya zaidi wanapenda kujifananisha na wanawake, wanaume hawajui kutunza siri za wenza wao, muongeaji hata mahala pasipohitaji yeye aongee.

Ila nikueleze tu yanayotokea sasa yalikua yanatokea huko zamani na ilikua kawaida tu.
 
Ni wajinga maana wanafikiria apo tu hawaoni mbali kabsa ndiyo maana wanaume wengi saivi hata malezi ya familia zao ni zero kulia lia tu.
Wee endeleza zarau tuu usifundisha hata wanao endelea kushupaza shingo.
 
Bikra zipo mm nimepata yenye miaka 20 nimetoa na naoa.endeleen kutafuta
Asante mkuu waambie nashangaa mtu ana coment kama vile wanawake wote wamecoment wapo bikra wengi tuu na nyie boy muache kuharibu haribu wewe uliye tolewa tulia.
 
hao madada nawaogopa sana binafsi kuna mdada kabadilisha maisha yangu kwa ushenzi kama huo,nafuga miaka miwili ooh mimi bikra ooh mama kanikataza ooh me geti kali hata kukutana shida sana ooh naogopa sijawahi naskia inauma ooh nkikupa utaniacha ,,,loh siku imewadia basi hata mlango wa kuingia uwanja wa taifa basi mwembamba!i hate these kind of women!ni mashetani! cha ajabu mtoto mwenyewe alikua mdogo tu ,from form two paka form four tayari ushakua ovyo sipati picha saivi yukoje mungu amsaidie!
sakata kama hili lilimkumba rafiki yangu mmoja hivi,alihangaishwa takribani miaka miwili na marupurupu yake kwa kisingizio kuwa demu ni bikra,kumbe wahuni wengine wanaupunyua freesh nyuma ya pazia.Siku demu kamuonea huruma jamaa baada ya kuona mchizi analia sana,mh siku ya kuja kupiga mzigo,jamaa anasikia shwaaaaah,kitu ndani bila vigingi. Jamaa baada ya kukojoa tu ilibidia aanze kutembeza makofi,ngumi,mateke,vichwa na mitusi mikubwa,na ikumbukwe jamaa baada ya kuamini yeye ndo atakata utepe kwa mara ya kwanza akaona amtambulishe demu kwa wazazi wake kama mchumba na anataka kumuoa kabisa. Halafu jamaa mwenyw ni ana hasira za karibu ile mbaya,lakini udhaifu wake ni kwamba alimpenda sana huyu binti,baada ya sakata ilo walikuja kutengana na kurudiana kwa miongo kama saba hivi...mwisho wa siku sijui niseme bahati nzur au mbaya ,jamaa akampa mimba yule binti,wakaitoa...wakaendelea kula tunda,iliponasa mimba ya pili demu akagoma kuichomoa maana kilichomkuta wakati anaichomoa mimba ya kwanza hatokisahau. Mwisho wa siku wazazi wa binti wakajua ishu,jamaa akapewa mke,kwa iyo now wanalea mimba yao pamoja after loong way of cheating and temporary mult-separation.
Dah,madada bora museme tu ukweli from the begining kwamba tyr wewe ni used kulko kumdanganya m.me,inaweza kuhatarisha maisha yako.
 
Hicho kitu kinachoitwa bikra mbona na kamshipa kadogo dhaifu kasiko na maana yoyote? In fact mwanamke akizidi miaka 20 bado ana hako kamshipa kanakoitwa bikra huwa namuona ni mgonjwa mchoyo mbinafsi au labda anatumia kule kwa shetani
Wapo wanao mind mkuu. Nakumbuka niliachwa mimi akaolewa mwenzangu mwenye bikra. Lakn nilishangaa baada ya kuoa tu jamaa akaanza kurudi kwangu kwa mbwembwe nyingi eti ananipenda. Nilimshangaa mno. Mi nilijua mwanaume akioa bikra nyumba inakuwa na amani na kunakuwa hakuna ugomvi kwa sababu bikra anatambulika kama mwanamke mwenye tabia njema na hana mapungufu. Nikagundua kilichompeleka jamaa kuoa ni bikra tu na hakuangalia vigezo vingne. Nilimtimulia mbali huko mpka sasa ananiona tu nipo naendelea na maisha yangu.
Mi nijuavyo ukioa bikra nyumbani inakua na amani haitakiwi kuwa ugomvi.
 
Wapo wanao mind mkuu. Nakumbuka niliachwa mimi akaolewa mwenzangu mwenye bikra. Lakn nilishangaa baada ya kuoa tu jamaa akaanza kurudi kwangu kwa mbwembwe nyingi eti ananipenda. Nilimshangaa mno. Mi nilijua mwanaume akioa bikra nyumba inakuwa na amani na kunakuwa hakuna ugomvi kwa sababu bikra anatambulika kama mwanamke mwenye tabia njema na hana mapungufu. Nikagundua kilichompeleka jamaa kuoa ni bikra tu na hakuangalia vigezo vingne. Nilimtimulia mbali huko mpka sasa ananiona tu nipo naendelea na maisha yangu.
Mi nijuavyo ukioa bikra nyumbani inakua na amani haitakiwi kuwa ugomvi.
Tena uyo ni wa kufukuzia mbali kabisa,mwanaume anaekupenda na mwanaume jasiri huwa anajiamini na mapungufu yako anayachukuwa na.kuyaboresha yawe mazur ila hawa wa bra bra wa kutaka bikra lool waendelee kutafuta
 
Asikwambie mtu kupata kitu kipya kuna heshima na raha yake.

Kama imetokea umepata used songa mbele lakini usiweke ngonjera kuwa kipya na kilichotumika eti vina sifa sawa. ..huo ni ujuh
 
Kwahiyo mtu asiwe na mikakati imara kuhusu mahusiano na suala na ndoa kiujumla kisa hana bikra? Really?! Unless you should specify exactly on the intended group.
pole sana mkuu kwa kutolewa bikra

mikakati upange huna bikra? kiukweli hapo we subiri janamume ndio liamue lenyewe tu kukuweka ndani kimyakimya bila mahari wala harusi
 
Back
Top Bottom