Baadhi ya wanawake na bikra

Baadhi ya wanawake na bikra

wengine zimetoka bahati mbaya mkuu kuna kuendesha baiskeli,kubakwa n.k sio zote zimetolewa katika ile process ya ULIMBI NA ULIMBOMBO
Wakuu,

Poleni na majukumu ya kila siku,

Kwanza nitangulize samahani kwa dada zangu kwa kuzungumzia bikra ni hivi!

Kwa kweli mimi nakuwa bored sana haswa pale unapokiwa na demu alafu anaanza kujishebedua mara ooo mimi mwanaume sijui ataanzia wapi kunitongoza na sijui wewe nimekukubaliaje wakati huo huo bikra ilishatolewa kitambo huwa namdharau kabisa au anakwambia mimi siolewi mpaka harusi na kukulazimisha kumuoa kwa harusi wakati bikra yenyewe hana bikra watoe wengine harusi nifunge mimi.

Ninajua wengi wetu pengine lina wauzi kama mimi ila kumwambia unaona atajihisi hovyo mno.Nimacho taka kusema kama unajijua wewe ni msichana na upo ama umeokewa au na mchumba acha kujishenedua sana kuhusu hilo wakati hakukuta na bikra kwa kweli inaboa sana acha niseme haswa ukizingatia swali gumu kumuuliza ni vp ulitoa bikra hongereni wanawake mliojitunza na kuolewa bikra.
 
Haya. Napenda tu kufahamu kama uliyemtoa ndio upo nae sasa? Au unaye aliyetolewa na mwanaume mwingine?
nipo nae sasa hivi siwezi kumuacha......ndo maana mnakua kwenye mahusiano mnalia lia tu,kutokua bikira kuna shusha hadhi na heshima kwa mwanaume wako,sema wengi hua hawasemi
 
Kwahiyo mtu asiwe na mikakati imara kuhusu mahusiano na suala na ndoa kiujumla kisa hana bikra? Really?! Unless you should specify exactly on the intended group.
huna bikra tulia tuli usisumbue wala kudekea watu hiyo mikakati yako imara kaa nayo rohoni
 
Kwahiyo mtu asiwe na mikakati imara kuhusu mahusiano na suala na ndoa kiujumla kisa hana bikra? Really?! Unless you should specify exactly on the intended group.
huna bikra tulia tuli usisumbue wala kudekea watu hiyo mikakati yako imara kaa nayo rohoni huna haki kabisa
 
Kwahiyo mtu asiwe na mikakati imara kuhusu mahusiano na suala na ndoa kiujumla kisa hana bikra? Really?! Unless you should specify exactly on the intended group.
huna bikra tulia tuli usisumbue wala kudekea watu hiyo mikakati yako imara kaa nayo rohoni huna haki kabisa
 
Kwahiyo mtu asiwe na mikakati imara kuhusu mahusiano na suala na ndoa kiujumla kisa hana bikra? Really?! Unless you should specify exactly on the intended group.
huna bikra tulia tuli usisumbue wala kudekea watu hiyo mikakati yako imara kaa nayo rohoni huna haki kabisa
 
nipo nae sasa hivi siwezi kumuacha......ndo maana mnakua kwenye mahusiano mnalia lia tu,kutokua bikira kuna shusha hadhi na heshima kwa mwanaume wako,sema wengi hua hawasemi
Ha ha ha hongera. Heshima na bikira vitu viwili tofauti. Nimemaliza
 
Wakuu,

Poleni na majukumu ya kila siku,

Kwanza nitangulize samahani kwa dada zangu kwa kuzungumzia bikra ni hivi!

Kwa kweli mimi nakuwa bored sana haswa pale unapokiwa na demu alafu anaanza kujishebedua mara ooo mimi mwanaume sijui ataanzia wapi kunitongoza na sijui wewe nimekukubaliaje wakati huo huo bikra ilishatolewa kitambo huwa namdharau kabisa au anakwambia mimi siolewi mpaka harusi na kukulazimisha kumuoa kwa harusi wakati bikra yenyewe hana bikra watoe wengine harusi nifunge mimi.

Ninajua wengi wetu pengine lina wauzi kama mimi ila kumwambia unaona atajihisi hovyo mno.Nimacho taka kusema kama unajijua wewe ni msichana na upo ama umeokewa au na mchumba acha kujishenedua sana kuhusu hilo wakati hakukuta na bikra kwa kweli inaboa sana acha niseme haswa ukizingatia swali gumu kumuuliza ni vp ulitoa bikra hongereni wanawake mliojitunza na kuolewa bikra.

kiongozi umenena vema...ni bora mtu atulie kimya tuu sio kujidai...ooohh mi siwezi kutembea na mwanaume wa "chuo flani"af miezi miwilimbele watu wa nakamua...ilitokea nikiwa first year 2008...acheni kujishebedua
 
Hahaha brother ukililia saana utapewa the chinese version of it
Chunga sana ni matapeli sana wengi wao!
 
Mimi bwana niliamua kwa moyo safi ku specialise na dubai huko nyuma niliwahi kununua Japan kama mara mbili aah ni ghali sana so am happy na dubai.
Mkuu umeniacha njia panda. Dubai na Japan zinasimamia tafasiri gani?
 
Back
Top Bottom