Akiwa nayo baba yako inatoshahuna bikra tulia tuli usisumbue wala kudekea watu hiyo mikakati yako imara kaa nayo rohoni huna haki kabisa
upo sawa kabisa naunakuta et nae anaringaMwanamke bikra bn, sio umepuyanga huko uje kujishebedua huku
mbona umejaa hasira kiasi hicho au umemshkisha nini jamaaAkiwa nayo baba yako inatosha
Kitambombona umejaa hasira kiasi hicho au umemshkisha nini jamaa
hahahahaaaaaaaaa si unaona alivyopanic utadhani kakandamizwa kumbe wapii povu limemtoka hahahahaaaaaTeh teh..Mtoa mada inaonekana umeitafuta sana bikra bila kuipata ndo mana umepanic.
kwanini ukamfanyia hivo pia nikulize unajua thamani ya bikraKitambo
Duh!haya wacha ninyambulishe Japan brand new na dubai second hand nadhani utanielewa hapo.Mkuu umeniacha njia panda. Dubai na Japan zinasimamia tafasiri gani?
Ni uzio unaotakiwa kutolewa na Mume wako,na suala la kumtoa binti bikira lipo kiroho zaidi na ni maagano, ila tu nasisi Wanaume pia tunawabikiri mabinti wa watu na kuwaacha....thats why binafsi siwezi kuwapa lawama Wanawake pekee.Malengo ya bikira ni nini? Ni uzio tu unaotakiwa kuondolewa nothing else
Mbona bikra nyingi, sema hujui kurengaWakuu,
Poleni na majukumu ya kila siku,
Kwanza nitangulize samahani kwa dada zangu kwa kuzungumzia bikra ni hivi!
Kwa kweli mimi nakuwa bored sana haswa pale unapokiwa na demu alafu anaanza kujishebedua mara ooo mimi mwanaume sijui ataanzia wapi kunitongoza na sijui wewe nimekukubaliaje wakati huo huo bikra ilishatolewa kitambo huwa namdharau kabisa au anakwambia mimi siolewi mpaka harusi na kukulazimisha kumuoa kwa harusi wakati bikra yenyewe hana bikra watoe wengine harusi nifunge mimi.
Ninajua wengi wetu pengine lina wauzi kama mimi ila kumwambia unaona atajihisi hovyo mno.Nimacho taka kusema kama unajijua wewe ni msichana na upo ama umeokewa au na mchumba acha kujishenedua sana kuhusu hilo wakati hakukuta na bikra kwa kweli inaboa sana acha niseme haswa ukizingatia swali gumu kumuuliza ni vp ulitoa bikra hongereni wanawake mliojitunza na kuolewa bikra.
Hajasema anataka kuoa mwanamke bikra,soma vizuri post yake uielewe.We unataka Kuoa mke bikra.. Wewe unayo??
mkuu umesahau kumailizia haka kaneno MAJANGAAAAAAAAAAAAAHahahaha eti bikra watoe wengine ndoa nifunge mimi, hahahaha
Hahahahahaha umenichekesha sana mkuu eti hata mlango wa uwanja wa taifa mwembamba!!hao madada nawaogopa sana binafsi kuna mdada kabadilisha maisha yangu kwa ushenzi kama huo,nafuga miaka miwili ooh mimi bikra ooh mama kanikataza ooh me geti kali hata kukutana shida sana ooh naogopa sijawahi naskia inauma ooh nkikupa utaniacha ,,,loh siku imewadia basi hata mlango wa kuingia uwanja wa taifa basi mwembamba!i hate these kind of women!ni mashetani! cha ajabu mtoto mwenyewe alikua mdogo tu ,from form two paka form four tayari ushakua ovyo sipati picha saivi yukoje mungu amsaidie!