Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Woga wa maisha ndio unafanya watu wapange uxazi.
Lakini watoto wakiwa wengi ndio akili itakukaa sawa.
Utafanya Kila kazi ili kutimiza mahitaji.
Na maendeleo utapata kwani kwa kufanya kazi kwa bidii unaongeza kipato.
Sijawahi sikia kupunguza idadi ya watoto kunakufanya uwe tajiri.
Ni uvivu tu.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini watoto wakiwa wengi ndio akili itakukaa sawa.
Utafanya Kila kazi ili kutimiza mahitaji.
Na maendeleo utapata kwani kwa kufanya kazi kwa bidii unaongeza kipato.
Sijawahi sikia kupunguza idadi ya watoto kunakufanya uwe tajiri.
Ni uvivu tu.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
