Baadhi ya wanaume mnafurahisha sana

Baadhi ya wanaume mnafurahisha sana

tapatalk_1547529028877-1.jpeg
 
Hata mkiwa kwenye ndoa, ukimfahamisha habari za ujauzito ana an za kung’aka ā€œ yaani umejiachaia mpaka umepata mimba, hatuko kwenye position ya kulea sasa hivi, si unajua tunajenga, gari hii imechakaa tuanahitaji kubadilisha gari, mwingine mimi ninaanza shule September hii habari itaharibu programme yanguā€.

Sasa subiri mtoto azaliwe, akiwa wa kiume utasikia nitakuwa ninaenda kunyoa kwa kinyozi with my boy. Akiwa wa kike utasikia huyu ndio mama yangu.

Sasa kama na wanawake tungekua na akili za kushikiwa huyu your boy au mama yako mngewaona lini!

Nkwei kabisa aha uzantamia kwa kwei,ne tiivyo hata kati bado siingie na uko mia ukwei nee uo.šŸ™šŸ½šŸ™šŸ½šŸ™šŸ½
 
Hata mkiwa kwenye ndoa, ukimfahamisha habari za ujauzito ana an za kung’aka ā€œ yaani umejiachaia mpaka umepata mimba, hatuko kwenye position ya kulea sasa hivi, si unajua tunajenga, gari hii imechakaa tuanahitaji kubadilisha gari, mwingine mimi ninaanza shule September hii habari itaharibu programme yanguā€.

Sasa subiri mtoto azaliwe, akiwa wa kiume utasikia nitakuwa ninaenda kunyoa kwa kinyozi with my boy. Akiwa wa kike utasikia huyu ndio mama yangu.

Sasa kama na wanawake tungekua na akili za kushikiwa huyu your boy au mama yako mngewaona lini!
Though lengo lako lawezekana ni jema always kumbuka kuzaa ni kupanga...coz no man anataka kufeli katika kuprovide mahitaj ya mtoto . that's why hatupend surprise kwenye masuala ya uzazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mkiwa kwenye ndoa, ukimfahamisha habari za ujauzito ana an za kung’aka ā€œ yaani umejiachaia mpaka umepata mimba, hatuko kwenye position ya kulea sasa hivi, si unajua tunajenga, gari hii imechakaa tuanahitaji kubadilisha gari, mwingine mimi ninaanza shule September hii habari itaharibu programme yanguā€.

Sasa subiri mtoto azaliwe, akiwa wa kiume utasikia nitakuwa ninaenda kunyoa kwa kinyozi with my boy. Akiwa wa kike utasikia huyu ndio mama yangu.

Sasa kama na wanawake tungekua na akili za kushikiwa huyu your boy au mama yako mngewaona lini!
hahaha
hao sasa unaowaongelea ni wanaume wenye hulka za kike, mwanaume ukiambiwa mimba tayari unajikausha tu unaanza kuCalculate magazijuto kwa kichwa ujue unaanzia wapi,

hayo ya kulalama ni kujihami na dalili ya uoga..
 
wanaume mkuje mtueleze ni kwa nini hii taarifa hamuizoei ?? Nina shoga yangu juzi alimwamibia mumewe kua ana mimba mwanaume alifoka utazan kampa mwanafunzi mimba..

Mna nini lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja alitamani sana mtoto mwingine. Wale wakubwa walikuwa wameshaanza shule. Mume hakutaka kabisa zile kero za kuamka usiku zirudi tena.

Mtoto alipozaliwa hata clinic alikwenda na mkewe.
 
Hata mkiwa kwenye ndoa, ukimfahamisha habari za ujauzito ana an za kung’aka ā€œ yaani umejiachaia mpaka umepata mimba, hatuko kwenye position ya kulea sasa hivi, si unajua tunajenga, gari hii imechakaa tuanahitaji kubadilisha gari, mwingine mimi ninaanza shule September hii habari itaharibu programme yanguā€.

Sasa subiri mtoto azaliwe, akiwa wa kiume utasikia nitakuwa ninaenda kunyoa kwa kinyozi with my boy. Akiwa wa kike utasikia huyu ndio mama yangu.

Sasa kama na wanawake tungekua na akili za kushikiwa huyu your boy au mama yako mngewaona lini!
Hahahah tusamehe bure, kwa niaba ya wenzangu tusamehe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom