Baadhi ya wanaume mnafurahisha sana

Baadhi ya wanaume mnafurahisha sana

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
Hata mkiwa kwenye ndoa, ukimfahamisha habari za ujauzito anaanza kung’aka “yaani umejiachaia mpaka umepata mimba, hatuko kwenye position ya kulea sasa hivi, si unajua tunajenga, gari hii imechakaa tuanahitaji kubadilisha gari”

Mwingine atasema “ninaanza shule September hii habari itaharibu programme yangu”.

Sasa subiri mtoto azaliwe, akiwa wa kiume utasikia, “nitakuwa ninaenda kunyoa kwa kinyozi with my boy.” Akiwa wa kike utasikia “huyu ndio mama yangu”.

Sasa kama na wanawake tungekua na akili za kushikiwa huyu your boy au mama yako mngewaona lini?!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣



Hata mkiwa kwenye ndoa, ukimfahamisha habari za ujauzito ana an za kung’aka “ yaani umejiachaia mpaka umepata mimba, hatuko kwenye position ya kulea sasa hivi, si unajua tunajenga, gari hii imechakaa tuanahitaji kubadilisha gari, mwingine mimi ninaanza shule September hii habari itaharibu programme yangu”.

Sasa subiri mtoto azaliwe, akiwa wa kiume utasikia nitakuwa ninaenda kunyoa kwa kinyozi with my boy. Akiwa wa kike utasikia huyu ndio mama yangu.

Sasa kama na wanawake tungekua na akili za kushikiwa huyu your boy au mama yako mngewaona lini!
 
Tunalalama ila mwisho wa siku tunakubaliana na hali.

Mwisho wa siku kabla ya kulala utaniuliza nyumba hutaki kumalizia, ada nayo inatakiwa week ijayo.
Mtoto akizaliwa nguvu ya kujenga inakuja, tena na bia mna punguza ili usilipe ada na kodi kwa wakati mmoja.
 
Complication za mimba, zimenitesa sana kama mwanaume, wanawake wawili tofauti usumbufu ule ule afu wamefanana kama mapacha vile
 
Back
Top Bottom